Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Naskia kozi inayoendelea huko chuoni Kiwira itaisha mwezi wa kwanza katikati... Ko tusitegemee majina hivi karibuni, labda hadi mwezi wa kwanza huko
 
Naskia kozi inayoendelea huko chuoni Kiwira itaisha mwezi wa kwanza katikati... Ko tusitegemee majina hivi karibuni, labda hadi mwezi wa kwanza huko
Bado Kuna kundi halijatoka shimoni!?
 
Ipo hivi mkeka magereza teari kila kitu umeshaandaliwa ila wanamsubir mkuu wa jeshi la magereza suleiman mzee arudi ziaran akague ndio waachie
 
Wakuu hivi kozi ya magereza ni miezi mingap kwa anaefahamu naomba anijuze
 
.
 

Attachments

  • 103a25ac-2e33-4fe2-9320-a2e4fba8b446.jpg
    103a25ac-2e33-4fe2-9320-a2e4fba8b446.jpg
    76.8 KB · Views: 47
  • 99a597f5-9c95-4446-8dfd-8e3ca59b2ab6.jpg
    99a597f5-9c95-4446-8dfd-8e3ca59b2ab6.jpg
    58 KB · Views: 48
  • 94f10cec-edd4-4863-b1c1-56f504276150.jpg
    94f10cec-edd4-4863-b1c1-56f504276150.jpg
    60.2 KB · Views: 53
***** yaani kutoka watu 12000 wapatikane 200 [emoji2].


Daah sema watu wana moyo aisee mi sichomi nauli napiga as where tungeitwa 400 ningesema kidogo kuna fighting chance
Kwanini ukate tamaa mzee baba! Kwenye hao 200 yawezekana wewe ni mmojawapo! #Marufuku kukata tamaa [emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom