Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna kma watufarijiKuna askari polisi kanambia usahili wa polisi utarud tena kama uhamiaji
Wamechukua watu wangapi idadi in general kama unayo taarifa Ya hiyo datawale wa magereza walioomba kwa taaluma ya kilimo ndio wamechukuliwa wengi kuliko fani nyengine.....
Kwn information hzo mmezipata wap wenzetu wakati mkeka bado haujasoma jaman???Wamechukua watu wangapi idadi in general kama unayo taarifa Ya hiyo data
Ni kweli ameniambia hivyoMbna kma watufariji
Ndoa maana nmeamua kumuuliza kama ana data ya hiyo information kuhusu idadi in general....kwasababu ameweza kutoa wastani ya waliochaguliw weng kuwa ni kilimo....kwahyo kuhusu taarifa au data hzo kazipata wap ngoja aje atujibu yeye binafsiKwn information hzo mmezipata wap wenzetu wakati mkeka bado haujasoma jaman???
Wamechukua watu wangapi idadi in general kama unayo taarifa Ya hiyo data
Kwa watu wenye taaluma wamechukuliwa kiujumla total ni 100......
Afya ndio najua idadi waliochukuliwa ni 15.....katika hao 15 clinical Officer ni 7 tuu...
Ila kilimo ndio nimeambiwa wamechukuliwa wengi kuliko wote ...sijatajiwa idadi
Watu 100 na hivi usahili walikuwa idadi kiasi gani kwa wenye taaluma?Kwa watu wenye taaluma wamechukuliwa kiujumla total ni 100......
Afya ndio najua idadi waliochukuliwa ni 15.....katika hao 15 clinical Officer ni 7 tuu...
Ila kilimo ndio nimeambiwa wamechukuliwa wengi kuliko wote ...sijatajiwa idadi
Watu 100 na hivi usahili walikuwa idadi kiasi gani kwa wenye taaluma?
Kuhusu professional ya Land surveyors wao idadi Yao ni wangap kama unayo lonja ya hiyo pia
Upo vizuri mkuu✊🏽🙏🏾Idadi ya waliofanya usaili total ni 560
Ni mwezi mmoja na siku mbili sasa tangia tarehe ya mwisho ya interview..
Magereza wamevuta kushinda hata PSRS
Ni maafisa wa Jeshi husika, waliosomea Mass communication / JournalismNaombeni munieleweshe ....hivi wale wasemaji wa jeshi wanakua wamesomea taaluma gani wale
Kwa anaefahamu wakuu[emoji120]
Wengi kuliko wote?Kwa watu wenye taaluma wamechukuliwa kiujumla total ni 100......
Afya ndio najua idadi waliochukuliwa ni 15.....katika hao 15 clinical Officer ni 7 tuu...
Ila kilimo ndio nimeambiwa wamechukuliwa wengi kuliko wote ...sijatajiwa idadi
Wengi kuliko wote?
Kaka vip ushajua unaingia magereza nnWakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum
Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini
All the best wadau [emoji120][emoji120]
Mkuu naona mambo yashakuwa mazuriWakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum
Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini
All the best wadau [emoji120][emoji120]