Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Watu wamevumilia JKT kujitolea na mtaani pia wamekula msoto... Nadhani na huko watavumilia tu na watatoboa
Kuanzi juzi makamanda hatari wametoka makao kuchukua maelekezo wanaenda kiwera, nadhani watakuwa wamefika,
 
Kuanzi juzi makamanda hatari wametoka makao kuchukua maelekezo wanaenda kiwera, nadhani watakuwa wamefika,
Majina yametoka leo watu toka juzi wameanza kwenda Wapi mzee mbona unatupiga kamba sana
 
Poleni sana wakuu. Ukweli hata mimi nimesikitika baada ya mshikaji wangu kuniambia amepata nafasi lakini hakupata kwa bidii zake bali connection. Tena aliipata paper kama ilivyo, leo ndo kanichana.
 
11/01/2022 save the date
Nyie kuruti si niliwaambia kuwa tar 11/12/2022 mzigo unatoka mkanikatalia?? Sasa wale wote mliokuja inbox those days mkanitajia majina yenu then nikaambia msubir Mambo Bado mkanitukana. Baadhi yenu majina nimeyaona. Sasa ole wako uingie kwenye 18 zangu utajua hujui. Nitakufurahisha .
 
Nyie kuruti si niliwaambia kuwa tar 11/12/2022 mzigo unatoka mkanikatalia?? Sasa wale wote mliokuja inbox those days mkanitajia majina yenu then nikaambia msubir Mambo Bado mkanitukana. Baadhi yenu majina nimeyaona. Sasa ole wako uingie kwenye 18 zangu utajua hujui. Nitakufurahisha .

Sawa afande tunashukuru mkuu kwa update yako...!
 
Wakuu hongereni wote muliochaguliwa magereza ni hatua kubwa na msitishwe na Yoyote kwamba kule kiwira ni kugumu nendeni mkapambane tuu

MTARUDI KAMA MTAKAVYOENDA ASIWATISHE MTU
 
Back
Top Bottom