AmarokB
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 893
- 751
Watu wamevumilia JKT kujitolea na mtaani pia wamekula msoto... Nadhani na huko watavumilia tu na watatoboaHuko kiwira sio sehemu rahisi kwa vijana wa ovyo, maana kuna makamanda wanaroho za shetani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wamevumilia JKT kujitolea na mtaani pia wamekula msoto... Nadhani na huko watavumilia tu na watatoboaHuko kiwira sio sehemu rahisi kwa vijana wa ovyo, maana kuna makamanda wanaroho za shetani..
Kuanzi juzi makamanda hatari wametoka makao kuchukua maelekezo wanaenda kiwera, nadhani watakuwa wamefika,Watu wamevumilia JKT kujitolea na mtaani pia wamekula msoto... Nadhani na huko watavumilia tu na watatoboa
Majina yametoka leo watu toka juzi wameanza kwenda Wapi mzee mbona unatupiga kamba sanaKuanzi juzi makamanda hatari wametoka makao kuchukua maelekezo wanaenda kiwera, nadhani watakuwa wamefika,
Nyie kuruti si niliwaambia kuwa tar 11/12/2022 mzigo unatoka mkanikatalia?? Sasa wale wote mliokuja inbox those days mkanitajia majina yenu then nikaambia msubir Mambo Bado mkanitukana. Baadhi yenu majina nimeyaona. Sasa ole wako uingie kwenye 18 zangu utajua hujui. Nitakufurahisha .11/01/2022 save the date
Waliokuwako makambini ya jkt wameanza kuingia kiwira Toka jumamosi.Majina yametoka leo watu toka juzi wameanza kwenda Wapi mzee mbona unatupiga kamba sana
Nyie kuruti si niliwaambia kuwa tar 11/12/2022 mzigo unatoka mkanikatalia?? Sasa wale wote mliokuja inbox those days mkanitajia majina yenu then nikaambia msubir Mambo Bado mkanitukana. Baadhi yenu majina nimeyaona. Sasa ole wako uingie kwenye 18 zangu utajua hujui. Nitakufurahisha .
Hapo tranka muhimuMAhitajio ya kufika nayo kwa anaye jua
Nenda kwenye website yao watatoa malekezoMAhitajio ya kufika nayo kwa anaye jua
Kabisasahivi tumebakisha mikeka 2 tuu uhamiaji na takukuru
MAPAMBANO YANAENDELEA...we never give up[emoji1320][emoji1320]
Hongera sana mdau kozi mda ganiKunguru wa Manzese
Gpili
Abrah GI
chlorine gas
muuchangamshe uzi huu kwa ajili ya uhamiaji na takukuru
Mimi nasepa kiwira
Tuombeane wadau bado safari ndefu,tukirud mwezi wa 7 tutawasabahi ndugu zetu[emoji120][emoji120]
ALL THE BEST WAKUU
Uhamiaji uliomba weweKunguru wa Manzese
Gpili
Abrah GI
chlorine gas
muuchangamshe uzi huu kwa ajili ya uhamiaji na takukuru
Mimi nasepa kiwira
Tuombeane wadau bado safari ndefu,tukirud mwezi wa 7 tutawasabahi ndugu zetu[emoji120][emoji120]
ALL THE BEST WAKUU.....never give up[emoji1320][emoji1320]
Hongera sana mdau kozi mda gani