Uhamiaji uliomba wewe
hapana sikuomba uhamiaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhamiaji uliomba wewe
Yeah alunta continuasahivi tumebakisha mikeka 2 tuu uhamiaji na takukuru
MAPAMBANO YANAENDELEA...we never give up[emoji1320][emoji1320]
Mkirudi msisau kupita huu uzi hichi ni kijiwe eti [emoji2]Kunguru wa Manzese
Gpili
Abrah GI
chlorine gas
muuchangamshe uzi huu kwa ajili ya uhamiaji na takukuru
Mimi nasepa kiwira
Tuombeane wadau bado safari ndefu,tukirud mwezi wa 7 tutawasabahi ndugu zetu[emoji120][emoji120]
ALL THE BEST WAKUU.....never give up[emoji1320][emoji1320]
Mkuu tumebakia wachache sana kwenye huu uziUhamiaji uliomba wewe
Hata mm ningependa kufahamu hiliNaomba kuuliza, hivi kuna mtu wa mujibu aliyeitwa kwenye nafasi hizi?
Mungu mkubwa mkuu naamini tutakutana tanga boma kichakamida kwenye kozi
Wapo mbnaNaomba kuuliza, hivi kuna mtu wa mujibu aliyeitwa kwenye nafasi hizi?
Inshallah AmeenMungu mkubwa mkuu naamini tutakutana tanga boma kichakamida kwenye kozi
Wilaya gani ipo mkuuWale boma kichakamiba tujuane
Me mmoja wapoNaomba kuuliza, hivi kuna mtu wa mujibu aliyeitwa kwenye nafasi hizi?
Kapambane mwanetu ,unatupa moyo na ss wa mujibu that mizigo iliyobakia tutapita piaMe mmoja wapo
Hongera sanaFeedback; Nimebahatisha wakuu... Tukutane Kiwira, ndugu yetu Geneous vp?
Hongera sana, ukawe mwaminifuMungu mkubwa hatimae na mimi nimebahatika kupata nafasi.
Thanks GOD [emoji120][emoji120] nimepambania sana hii nafasi
Naenda kukaza mkuu, nikifikiria life la kitaa na miaka niliyosota lazima nikakazeKapambane mwanetu ,unatupa moyo na ss wa mujibu that mizigo iliyobakia tutapita pia
Shukrani mkuuHongera sana
[emoji23][emoji23]wasamehe hao madogo afandeNyie kuruti si niliwaambia kuwa tar 11/12/2022 mzigo unatoka mkanikatalia?? Sasa wale wote mliokuja inbox those days mkanitajia majina yenu then nikaambia msubir Mambo Bado mkanitukana. Baadhi yenu majina nimeyaona. Sasa ole wako uingie kwenye 18 zangu utajua hujui. Nitakufurahisha .
Mungu ni mwema sana, I'm happy kwa wote mliofanikiwa haikuwa RahisiShukrani mkuu
Kumbe inawezekana!! Hongera na mapambano mema.Me mmoja wapo
Naomba kuuliza, hivi kuna mtu wa mujibu aliyeitwa kwenye nafasi hizi?