Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Nenda kajaribu bahati yako ila kuna watu kibao tokea juzi walikuwa wanashinda nje ya makao makuu Dom kuomba wahulumiwe mtaani pagumu ila kilichowakuta wanajua wenyewe.

Ww nenda halafu utakuja kutuhadithia yaliyojili
Mmeanza tena kututia nyembe
 
Sema pia baada ya jeshi nahisi kuanzia mwezi wa saba au wa nane TISS nao wataanza kuita watu wao.

Maana baada ya jeshi kupita vyuoni nao TISS walifuata nyuma yao. Wakaenda kuchukua na wao watu.

So kuwa mpole tu na uombe Mungu maana unaweza ukashangaa ukawa umekula shavu la vipepeo weusi.
Kuna jamaa etu kwel wa Lab ameitwa aisee

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
IMG-20220602-WA0050~2.jpg


Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Inavyoonekana kuna watu wataingizwa kufidia idadi hata form six hasa PCM PCB PGM CBG CBA CBN au wenye certificate na mafundi
 
Form four wasahau ilo bogi ila kwenye michongo kila kitu chawezekana
 
Ndio kaka,Wasomi wengi hasa hasa mainjinia na madaktari hawapendi msoto wa sijui jeshini labda kwa TISS wanapapenda.

Kwa mfano kwa madaktari wanasikilzia ajira za serikalini za juzi kati walizo apply na wanaogopa msoto wa kule jeshini ndo maana hawataki.

Na kwa mainjinia wako hivyo hivyo wanaamini mtaani mishe zipo nyingi tu watatoboa kuliko kwenda huko kuishi kwa amri.

Si unajua wote hao wanajiamini kuwa wana akili.

Imagine kwenye kundi la watu 1500 lakini hadi jana jioni walikuwa 70 may be leo watakuwa wameongezeka ila sidhani kama watakuwa wamefika hata 200.

Ila tungekuwa tumepata sisi watoto wa mbwa,wangetupunguza wenyewe.

Hapo ndio faida ya PCM,PGM,PCB na CBG inaonekana.

NB.
Maana intake hii ni ya SPECIAL GROUP ambao ni mainjinia na madaktari tu hakuna watu wengine.(Na wenye diploma wenye fani hizo pia wapo)
Kaka apo ukipata connection unapita hata kama haujasimea eng na afya niachoona apo ata Kuna watu wataenda fidia hizo nafasi hasa kuanzia six na certificate muhimu au diploma
 
Sema pia baada ya jeshi nahisi kuanzia mwezi wa saba au wa nane TISS nao wataanza kuita watu wao.

Maana baada ya jeshi kupita vyuoni nao TISS walifuata nyuma yao. Wakaenda kuchukua na wao watu.

So kuwa mpole tu na uombe Mungu maana unaweza ukashangaa ukawa umekula shavu la vipepeo weusi.
Hivi Tiss wanataka ma injinia na ma doctor nao ndio maana wamepita vyuoni ?

Ina maana mtaani hawapiti ?
 
Kaka apo ukipata connection unapita hata kama haujasimea eng na afya niachoona apo ata Kuna watu wataenda fidia hizo nafasi hasa kuanzia six na certificate muhimu au diploma
Mmh sidhani kama ni rahisi kiongozi wale watu wanaenda kwa maelekezo kama ni enginer na afya basi ni injinia na afya

Watafidia nafasi kama iwapo watapewa ruhusa
 
Kuna jamaa etu kwel wa Lab ameitwa aisee

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kama kareport tayari jaribu kumpigia umuulize vipi wanaofia hapo tokea mtaani ambao hawakuitwa na JWTZ vipi wanaruhusiwa kujoin au vipi ?

Au yeyote ambaye ana mtu ambaye Kesha report tayari amuulize halafu share nasi hapa tuangalie uwezekano WA kuunga tela
 
Kama kareport tayari jaribu kumpigia umuulize vipi wanaofia hapo tokea mtaani ambao hawakuitwa na JWTZ vipi wanaruhusiwa kujoin au vipi ?

Au yeyote ambaye ana mtu ambaye Kesha report tayari amuulize halafu share nasi hapa tuangalie uwezekano WA kuunga tela
Simu yake haipatikani
 
Ndio kaka,Wasomi wengi hasa hasa mainjinia na madaktari hawapendi msoto wa sijui jeshini labda kwa TISS wanapapenda.

Kwa mfano kwa madaktari wanasikilzia ajira za serikalini za juzi kati walizo apply na wanaogopa msoto wa kule jeshini ndo maana hawataki.

Na kwa mainjinia wako hivyo hivyo wanaamini mtaani mishe zipo nyingi tu watatoboa kuliko kwenda huko kuishi kwa amri.

Si unajua wote hao wanajiamini kuwa wana akili.

Imagine kwenye kundi la watu 1500 lakini hadi jana jioni walikuwa 70 may be leo watakuwa wameongezeka ila sidhani kama watakuwa wamefika hata 200.

Ila tungekuwa tumepata sisi watoto wa mbwa,wangetupunguza wenyewe.

Hapo ndio faida ya PCM,PGM,PCB na CBG inaonekana.

NB.
Maana intake hii ni ya SPECIAL GROUP ambao ni mainjinia na madaktari tu hakuna watu wengine.(Na wenye diploma wenye fani hizo pia wapo)
Ndugu huko unaenda tu kureport bila kuitwa? Au ndo unapeleka cv zako? Naomba nijuze Ndugu yangu
 
Ndugu huko unaenda tu kureport bila kuitwa? Au ndo unapeleka cv zako? Naomba nijuze Ndugu yangu
Wewe uende Tu bila kuitwa jmn umeona wapi mwee ivi unaanzaje [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom