spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Mmeanza tena kututia nyembeNenda kajaribu bahati yako ila kuna watu kibao tokea juzi walikuwa wanashinda nje ya makao makuu Dom kuomba wahulumiwe mtaani pagumu ila kilichowakuta wanajua wenyewe.
Ww nenda halafu utakuja kutuhadithia yaliyojili
Kuna jamaa etu kwel wa Lab ameitwa aiseeSema pia baada ya jeshi nahisi kuanzia mwezi wa saba au wa nane TISS nao wataanza kuita watu wao.
Maana baada ya jeshi kupita vyuoni nao TISS walifuata nyuma yao. Wakaenda kuchukua na wao watu.
So kuwa mpole tu na uombe Mungu maana unaweza ukashangaa ukawa umekula shavu la vipepeo weusi.
Kuna watu hapa walikula shavu
Kaka apo ukipata connection unapita hata kama haujasimea eng na afya niachoona apo ata Kuna watu wataenda fidia hizo nafasi hasa kuanzia six na certificate muhimu au diplomaNdio kaka,Wasomi wengi hasa hasa mainjinia na madaktari hawapendi msoto wa sijui jeshini labda kwa TISS wanapapenda.
Kwa mfano kwa madaktari wanasikilzia ajira za serikalini za juzi kati walizo apply na wanaogopa msoto wa kule jeshini ndo maana hawataki.
Na kwa mainjinia wako hivyo hivyo wanaamini mtaani mishe zipo nyingi tu watatoboa kuliko kwenda huko kuishi kwa amri.
Si unajua wote hao wanajiamini kuwa wana akili.
Imagine kwenye kundi la watu 1500 lakini hadi jana jioni walikuwa 70 may be leo watakuwa wameongezeka ila sidhani kama watakuwa wamefika hata 200.
Ila tungekuwa tumepata sisi watoto wa mbwa,wangetupunguza wenyewe.
Hapo ndio faida ya PCM,PGM,PCB na CBG inaonekana.
NB.
Maana intake hii ni ya SPECIAL GROUP ambao ni mainjinia na madaktari tu hakuna watu wengine.(Na wenye diploma wenye fani hizo pia wapo)
Hivi Tiss wanataka ma injinia na ma doctor nao ndio maana wamepita vyuoni ?Sema pia baada ya jeshi nahisi kuanzia mwezi wa saba au wa nane TISS nao wataanza kuita watu wao.
Maana baada ya jeshi kupita vyuoni nao TISS walifuata nyuma yao. Wakaenda kuchukua na wao watu.
So kuwa mpole tu na uombe Mungu maana unaweza ukashangaa ukawa umekula shavu la vipepeo weusi.
Mmh sidhani kama ni rahisi kiongozi wale watu wanaenda kwa maelekezo kama ni enginer na afya basi ni injinia na afyaKaka apo ukipata connection unapita hata kama haujasimea eng na afya niachoona apo ata Kuna watu wataenda fidia hizo nafasi hasa kuanzia six na certificate muhimu au diploma
Form Tunapambana nao kwenye hili la magereza [emoji3]Form four wasahau ilo bogi ila kwenye michongo kila kitu chawezekana
[emoji2]Form Tunapambana nao kwenye hili la magereza [emoji3]
Mhhh ngoja tuoneMmh sidhani kama ni rahisi kiongozi wale watu wanaenda kwa maelekezo kama ni enginer na afya basi ni injinia na afya
Watafidia nafasi kama iwapo watapewa ruhusa
Oya unaenda kureport Tu bila kuapply kokote jomba ?Hivi hawafanyi hata interview inamaana au mn kuna rafiki yangu pia ye n mechanical engineer yupo pale tangu Jana kalipoti
Wana majina yao poti ila kama upo karbu jarbu kuzamia ila andaa nguvuOya unaenda kureport Tu bila kuapply kokote jomba ?
Kama kareport tayari jaribu kumpigia umuulize vipi wanaofia hapo tokea mtaani ambao hawakuitwa na JWTZ vipi wanaruhusiwa kujoin au vipi ?
Simu yake haipatikaniKama kareport tayari jaribu kumpigia umuulize vipi wanaofia hapo tokea mtaani ambao hawakuitwa na JWTZ vipi wanaruhusiwa kujoin au vipi ?
Au yeyote ambaye ana mtu ambaye Kesha report tayari amuulize halafu share nasi hapa tuangalie uwezekano WA kuunga tela
Poa , vipi lakini mjuba ?, Unaonaje tuibuke hivyohivyo Makutupola au ? , Unaweza kuta njemba zinachukuliwa hapo hapo getini Mzee , nchi ngumu Sana hiiSimu yake haipatikani
Hahaaaaa washenzi wale wanamsemo wao "kunywa maji mengi na sndaa nguvu " enzi hizo jkt oljoro 2014 , kubabake zao na Gamba la jkt ninaloWana majina yao poti ila kama upo karbu jarbu kuzamia ila andaa nguvu
Ndugu huko unaenda tu kureport bila kuitwa? Au ndo unapeleka cv zako? Naomba nijuze Ndugu yanguNdio kaka,Wasomi wengi hasa hasa mainjinia na madaktari hawapendi msoto wa sijui jeshini labda kwa TISS wanapapenda.
Kwa mfano kwa madaktari wanasikilzia ajira za serikalini za juzi kati walizo apply na wanaogopa msoto wa kule jeshini ndo maana hawataki.
Na kwa mainjinia wako hivyo hivyo wanaamini mtaani mishe zipo nyingi tu watatoboa kuliko kwenda huko kuishi kwa amri.
Si unajua wote hao wanajiamini kuwa wana akili.
Imagine kwenye kundi la watu 1500 lakini hadi jana jioni walikuwa 70 may be leo watakuwa wameongezeka ila sidhani kama watakuwa wamefika hata 200.
Ila tungekuwa tumepata sisi watoto wa mbwa,wangetupunguza wenyewe.
Hapo ndio faida ya PCM,PGM,PCB na CBG inaonekana.
NB.
Maana intake hii ni ya SPECIAL GROUP ambao ni mainjinia na madaktari tu hakuna watu wengine.(Na wenye diploma wenye fani hizo pia wapo)
Wewe uende Tu bila kuitwa jmn umeona wapi mwee ivi unaanzaje [emoji23][emoji23]Ndugu huko unaenda tu kureport bila kuitwa? Au ndo unapeleka cv zako? Naomba nijuze Ndugu yangu