Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah mwezi wa tisa kabisa huo semaIle source ilisema baada ya sensa wanakuja
Yah mzee na nadhani na vyombo vingine vitakuja umeona wameanza prison watakuja PT may be Tanapa migration alaf dec Tipidiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah mwezi wa tisa kabisa huo sema
Mtu ukipata dili la sensa siku zitakuwa zinaenda kasi sana huku ukiingiza mpunga
Ila ukiwa unga unga mwana mwezi wa tisa parefu kudadekiii
Uzi haujaanzishwa leoMkuu umeamua kuwa mlinzi wa wafungwa ? hongera !! Ni vyeti halisi, Umri na ukakamavu wako tu.
Mzee baba utaweza vumilia mpka December tpdf ?Yah mzee na nadhani na vyombo vingine vitakuja umeona wameanza prison watakuja PT may be Tanapa migration alaf dec Tipidiii
Nkihakikishiwa maisha unasubiri ila unaanza kuomba hizi zote zikigoma tpdiii wanakuzoaMzee baba utaweza vumilia mpka December tpdf ?
Kama mbanga ya uhakika ipo hio isubiri kishujaa kabisa mkuuNkihakikishiwa maisha unasubiri ila unaanza kuomba hizi zote zikigoma tpdiii wanakuzoa
Lazima nibet na vyombo vingineKama mbanga ya uhakika ipo hio isubiri kishujaa kabisa mkuu
Jw chama lengine hilo
Miezi nane kozi haoMigration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]
Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?
Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
Immigration walinikataa ata usaili sijaitwa na vigezo nilikuwa navyo ..haya maisha bhnaMigration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]
Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?
Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
Daah ndio hivyo kaka kupambana sehemu nyingineImmigration walinikataa ata usaili sijaitwa na vigezo nilikuwa navyo ..haya maisha bhna
Huyu mwamba tulikuwa naye kwenye huu Uzi alikuwa na mchango wake pia ..jamaa Mungu amasaidie amalize kozi salama .Wakubwa nawaaga jamani napotea jamii forum
Kwa wale tutakaobahatika kuwepo kwenye mkeka inshaallah tutakutana kambini
All the best wadau [emoji120][emoji120]
Huyu mwamba naye yupo kichakamiba huko nadhani..god bless him/herMungu ni wetu sote
Daaah michosho hiiMiezi nane kozi hao
wanangu tutawanyike kutafuta connection.kutoboa kavu kavu uwe unabahati sana.wote mnajua wenzetu wengi wapo kozini.cc pekee ndio tumebaki na tusipo chomoa kwenye huu utawala wa mama ngumu sana kuja kupata upenyo tenaHuyu mwamba naye yupo kichakamiba huko nadhani..god bless him/her
Daah jamaa alipambana sana hawa ndio waliofanya usaili DodomaHuyu mwamba naye yupo zake kozi mungu amsaidie amalize salama siye tuendelee kuomba tupate awamu hii
Hao jamaa wanakaza sanaImmigration walinikataa ata usaili sijaitwa na vigezo nilikuwa navyo ..haya maisha bhna
Daah na mimi zamu yangu itafikaKunguru wa Manzese
Gpili
Abrah GI
chlorine gas
muuchangamshe uzi huu kwa ajili ya uhamiaji na takukuru
Mimi nasepa kiwira
Tuombeane wadau bado safari ndefu,tukirud mwezi wa 7 tutawasabahi ndugu zetu[emoji120][emoji120]
ALL THE BEST WAKUU.....never give up[emoji1320][emoji1320]
sio poa wana ndio wanaua kozi.Daah na mimi zamu yangu itafika
Huyu ndugu yetu atakuwa ndio anamalizia
Yaani we acha tu waje tu mwezi wa saba huko mbali sanasio poa wana ndio wanaua kozi.
ikiwezekana tanpol waje juni hii kozi agosti naona mbali sio kwa msoto huu
sema ww magereza wanakuchukua mkuuYaani we acha tu waje tu mwezi wa saba huko mbali sana
Kitaa pamoto sana