Msaada interview za Jeshi la Magereza

Hivi Kwenye damu kuna chengine wanachoangalia zaidi ya homa ya ini na ukimwi ?


Kipindi hichi madawiri ni kuwa nao makini
 
Hapana,makao makuu hayapo uko,ila nilikua naelezea kwa uzoefu wangu,mfano wa usaili unaoendelea makutupola,hawakutoa PDF...walikua wanapiga simu tu
Makutopora special case mkuuu wameanza kurudisha nyumban watu wamezid umr
 
Tpdf Hawa PDF Kama Hawa police, uhamishaji na wengin kikubwa subira mkuu
 
Ukiitwa kwenye usaili hakikisha unawaulizia watu walio pita kwenye kile kibao cha kupimia macho wakutajie herufi maana hawabadirishi....laah sihivyo,kitu kidogo kinaweza kukuferisha maisha,wee kaa mwishoni mwishoni ili ukifika ukitaja ata viherufi vi 3 wakuachie
 
Kweli kabisa lonja muhimu
 
Watu makutupora waliondoka na machovi na degree zao
Hicho kipimo nishakikumbuka tayari [emoji16] tulifanya jkt zimechorwa herufi herufi nyengine kubwa nyengine ndogo kama ni hicho utakuwa mzembe ukikatwa maana mnapanga mstari kwahyo mwenzako akionyeshwa herufi na fimbo unamskia na unaona kabisa

Labda wakuingize kwenye chumba mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…