Arturo mateo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 636
- 1,076
Interview ya kwanza hawaangalii ilo kwanza,wanacheki urefu,afya,apo mnaweza kimbizwa uzunguke uwanja mara kadhaa,ya pili ndio huwa wanacheki vingi ,na mnakua wengi maana inafanyika kimkoa au wilayaAlafu magereza kuna watu wameitwa interview ht vyeti vya jkt hawana aise