Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tutete PM kidogo ndugu yanguSEMA tukupe mwongozo dean
MT pagumu sana kule scale zao za kawaida sana na hawana vyanzo vingine vya kupata pesa kulinganisha na PT.Ngoj wajuzi waje kutufahamisha mishahara ipoje Choo Cha Kulipia
MT pagumu sana kule scale zao za kawaida sana na hawana vyanzo vingine vya kupata pesa kulinganisha na PT.
MT pagumu sana kule scale zao za kawaida sana na hawana vyanzo vingine vya kupata pesa kulinganisha na PT.
Tutajie scale zao basi kwanzia ngazi ya chini kiongoziMT pagumu sana kule scale zao za kawaida sana na hawana vyanzo vingine vya kupata pesa kulinganisha na PT.
inamaana MT kama umetuma maombi na kigezo cha urefu 5.7 huna maana yake si ushajitoa kwenye kinyang'anyiro kabisa au
Jaman ambaye anafahamu mishahara maana Kuna mtu kaniambia mshahara ni 250,000 je nikweli kuanzia ngazi ya chiniKwani ulifikir wale waliopata polisi wote wamefikisha ule urefu uliotakiwa..?
Kwa wenye fani urefu sio issue mana eanahutaji nazo ila hata ukiwa na connection urefu sio issueKwani ulifikir wale waliopata polisi wote wamefikisha ule urefu uliotakiwa..?
Sio kweli ,wizara ya mambo ya ndani mishahara iko sawaJaman ambaye anafahamu mishahara maana Kuna mtu kaniambia mshahara ni 250,000 je nikweli kuanzia ngazi ya chini
Je ni shingapi Sasa kama niasawaSio kweli ,wizara ya mambo ya ndani mishahara iko sawa
Tusiishie kusema ni sawa je uiyo sawa ni shiling ngapSio kweli ,wizara ya mambo ya ndani mishahara iko sawa
Sio kweli ,wizara ya mambo ya ndani mishahara iko sawa
Kwa wenye fani urefu sio issue mana eanahutaji nazo ila hata ukiwa na connection urefu sio issue
Tusiishie kusema ni sawa je uiyo sawa ni shiling ngap
Magereza form4 mshahara laki4 na posho ni laki3=700000,but huwa kuna package ya laki3 kila baada ya miez mi3 package ni hela ya vinywaji .kwa upande wa polisi sijajuaKipendi cha JK ilikuwa kima cha chini kabisa alipandisha hadi laki 3 kwa mtumishi mwenye elimu duni
Magereza form4 mshahara laki4 na posho ni laki3=700000,but huwa kuna package ya laki3 kila baada ya miez mi3 package ni hela ya vinywaji .kwa upande wa polisi sijajua
Inatosha aise kwa kibongo bongo life linaendaKumbe sio haba mzee