Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Mwenye lonja za magereza jamani...!atupeee
 
inamaana MT kama umetuma maombi na kigezo cha urefu 5.7 huna maana yake si ushajitoa kwenye kinyang'anyiro kabisa au
 
Kipendi cha JK ilikuwa kima cha chini kabisa alipandisha hadi laki 3 kwa mtumishi mwenye elimu duni
 
Kipendi cha JK ilikuwa kima cha chini kabisa alipandisha hadi laki 3 kwa mtumishi mwenye elimu duni
Magereza form4 mshahara laki4 na posho ni laki3=700000,but huwa kuna package ya laki3 kila baada ya miez mi3 package ni hela ya vinywaji .kwa upande wa polisi sijajua
 
Magereza form4 mshahara laki4 na posho ni laki3=700000,but huwa kuna package ya laki3 kila baada ya miez mi3 package ni hela ya vinywaji .kwa upande wa polisi sijajua

Kumbe sio haba mzee
 
Back
Top Bottom