Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

We jamaa ujaelewa somo,
Ni hivi usairi hatukatai ulifanyika ila ni ule wa mikoani. Ila huu wa makao wa wenye fani mbali mbali ndo bado

au sio hivyo mr genius?
Kwa hyo wanataka kutuambia Ka umefanyika tayari watu wao tayari ,kwa hyo wakiitisha usahili ni Geresha tu au bure kitendo
 
Kwa hyo wanataka kutuambia Ka umefanyika tayari watu wao tayari ,kwa hyo wakiitisha usahili ni Geresha tu au bure kitendo
Amna kitu hicho buana hii bongo yetu janja janja nyingi hatukatai ila sema sio mpk kufikia huko jamani usairi ufanywe kihuni huni hivyo watu tuweni na SUBIRA TIME WILL TELL.[emoji1][emoji1]
 
Usaili kwa wenye taaluma mbalimbali
bado na utafanyika kama kawaida msiwe na wasiwasi ila jiandaeni kwenda dodoma utafanyikia huko
Iko hivii .....

Usaili wote tayari. Na wa taalima ulifanyikia dodoma msalato. Kama hukupigiwa simu tafuta kitu kingine Cha kufanya kuruti
 
Iko hivii .....

Usaili wote tayari. Na wa taalima ulifanyikia dodoma msalato. Kama hukupigiwa simu tafuta kitu kingine Cha kufanya kuruti

Kwahio unataka kutuambia members wote waliopo humu jf kwa walioomba kwa taaluma hakuna hata aliepigiwa simuu.?????

Acha uongo aisee bora upige kimya tuu
 
Iko hivii .....

Usaili wote tayari. Na wa taalima ulifanyikia dodoma msalato. Kama hukupigiwa simu tafuta kitu kingine Cha kufanya kuruti
We nawe unayumba mkali
Mimi naishi Msalato na home tunatizamana na Makao makuu kabisa ..lakn Akuna mtu hata mmoja aliekuja wala kuckia kama kuna usaili
Kama hauna source ya kutoa taarifa ni bora ukakaa kimya tu .
 
We nawe unayumba mkali
Mimi naishi Msalato na home tunatizamana na Makao makuu kabisa ..lakn Akuna mtu hata mmoja aliekuja wala kuckia kama kuna usaili
Kama hauna source ya kutoa taarifa ni bora ukakaa kimya tu .

Safi sana kaka..... mjadala UMEUMALIZA

Huyo jamaa anayumba sana sjui anatafuta umaarufu au vipi haeleweki yan
 
Iko hivii .....

Usaili wote tayari. Na wa taalima ulifanyikia dodoma msalato. Kama hukupigiwa simu tafuta kitu kingine Cha kufanya kuruti
Unapozungumza kitu uwe unatoa na mifano Basi kwamba rafiki ako au wew ulipigiwa simu , sio kuongea kitu ambacho huna nacho ushaidi ,Kwan utakufa kukausha.
 
Unapozungumza kitu uwe unatoa na mifano Basi kwamba rafiki ako au wew ulipigiwa simu , sio kuongea kitu ambacho huna nacho ushaidi ,Kwan utakufa kukausha.

Na hata huo mfano akitoa kama ameamua kudanganya atatudanganya pia ni vyema tuu kiungwana kama hana taarifa za kweli akakaa kimyaaa tuu.......
 
Na hata huo mfano akitoa kama ameamua kudanganya atatudanganya pia ni vyema tuu kiungwana kama hana taarifa za kweli akakaa kimyaaa tuu.......
Mkurungwa Jiniazi lonja za JW vp mzeya mi nishaondoa magugu huku site [emoji16]
 
Mimi binafsi jamaa alieniambia ameniambia ndani ya week hizi 2 kwa maana week inayokuja ndio ya 2 sasa ngoja tusikilizie kama ni ukweli au vipi....
Usitegemee tpdf watatoa tangazo kama vyombo vya mamabo ya ndan vilivyofanya ,kama umeshapata lonja madogo wako rts kihangaiko piganisha uende kama huna mbanga Kaa pemben
 
Usitegemee tpdf watatoa tangazo kama vyombo vya mamabo ya ndan vilivyofanya ,kama umeshapata lonja madogo wako rts kihangaiko piganisha uende kama huna mbanga Kaa pemben

Hahahahaha.....aisee hilo nalo ni neno mzeee...:
 
Usitegemee tpdf watatoa tangazo kama vyombo vya mamabo ya ndan vilivyofanya ,kama umeshapata lonja madogo wako rts kihangaiko piganisha uende kama huna mbanga Kaa pemben

Binafs napiganisha mkiona nipo kimya mjue tear nimesepa [emoji16][emoji16]
 
Usitegemee tpdf watatoa tangazo kama vyombo vya mamabo ya ndan vilivyofanya ,kama umeshapata lonja madogo wako rts kihangaiko piganisha uende kama huna mbanga Kaa pemben
Wakitaka uraiani lazima watangaze
 
Unapozungumza kitu uwe unatoa na mifano Basi kwamba rafiki ako au wew ulipigiwa simu , sio kuongea kitu ambacho huna nacho ushaidi ,Kwan utakufa kukausha.
Tatizo lenu kuruti hamuamini. Endeleeni kusubiri basi huo usaili
 
Back
Top Bottom