Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kazi ipoUpdate
Kati ya wale watu wa taaluma zote.....wanahitajika watu 100 tu bas.
Tuzidishe maombi [emoji2363]
Duh! Kazi ipo
Disappointment arleady
Mkuu ukipata Ajira hasa ukapelekwa Gereza alilopo Sabaya nishitue, ili unitafutie manyapala wawili hivi niwape kazi ya kufanya
🤣🤣🤣 endelea kuhudhuria mahakaniHahahahaha....alikufanyaje.?[emoji38]
Kujiendeleza inategemea kwanza na kituo ulipo na Mkuu wako wa Gereza husika, Kwa Zile taaluma wanazozitaka wao ruhusa haisumbui kabisa hata iwe miaka 5 utapewa tu usome, Wengi nimeona wanasoma kwa ujanja ujanja hasa waliopo vituo vya mijini (Mwanza) Kuna watu mchana anakuwa SAUT/CBE/IFM usiku yupo mzigoni Kama kawa wengine wamepiga OUT kipindi Cha mitihani anaomba ruhusa mmoja wapo Bro zangu wawili kamaliza Law mwaka Jana na mwingine Account hizi kozi zilizoisha juzijuzi walikuwa nyota moja!!!Hivi wakuu issue ya kujiendeleza kielimu Magereza hawasumbui kutoa ruhusa.?
Kujiendeleza inategemea kwanza na kituo ulipo na Mkuu wako wa Gereza husika, Kwa Zile taaluma wanazozitaka wao ruhusa haisumbui kabisa hata iwe miaka 5 utapewa tu usome, Wengi nimeona wanasoma kwa ujanja ujanja hasa waliopo vituo vya mijini (Mwanza) Kuna watu mchana anakuwa SAUT/CBE/IFM usiku yupo mzigoni Kama kawa wengine wamepiga OUT kipindi Cha mitihani anaomba ruhusa mmoja wapo Bro zangu wawili kamaliza Law mwaka Jana na mwingine Account hizi kozi zilizoisha juzijuzi walikuwa nyota moja!!!
Na hadi Sasa wapo Magereza Mmoja yupo Gereza Kuu Butimba, Mwingine Gereza Geita!!!Nao walikua magereza.?
Na hadi Sasa wapo Magereza Mmoja yupo Gereza Kuu Butimba, Mwingine Gereza Geita!!!
Ivi takukuru nao wanaenda kozi au zile ni kazi moja kwa moja?
Hivi takukuru walishaitaga watu wao nn?Ivi takukuru nao wanaenda kozi au zile ni kazi moja kwa moja?
Hivi takukuru walishaitaga watu wao nn?
[emoji1] kwamba una mbanga huko ndani anakuupdateUpdate
Magereza walioenda usaili afya kati ya wale 152.......wanahitajika watu 17 tu.
Kati ya hao 17......watu 7 ni CO ndio wanatakiwa.
[emoji1] kwamba una mbanga huko ndani anakuupdate
Taarifa umezipata wapiNasikia Majibu ya interview yametoka hivi ni kweli?..kwa ambae anafaham aelezee vzur kuhusu hili maana binafsi nimemwambia sijaona