Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mahitaji si kuna watu watashindwa kuyamudu ..mbona zaman majeshi yalikuwa yanahudumia hivi vitu imekuaje tena?View attachment 2077958
maafande watarajiwa nimetoka ukonga maelekezo ndio hayoo na tunatakiwa kesho asubuh tuelekee pale na nauli yako mfukoni ili tukaandikishwe majina kwa ajili ya Safari na maelekezo mengine yote tutapewa Kesho inshaallah
Haya mahitaji si kuna watu watashindwa kuyamudu ..mbona zaman majeshi yalikuwa yanahudumia hivi vitu imekuaje tena?
Kuna vijana mawepambania hizi nafasi..inasikitisha kwamba wanaweza wasitimize ndoto zao kwa gharama hizi! All in all naamini watafanikiwa.upigaji mzee siunajua bongo hii
View attachment 2077958
maafande watarajiwa nimetoka ukonga maelekezo ndio hayoo na tunatakiwa kesho asubuh tuelekee pale na nauli yako mfukoni ili tukaandikishwe majina kwa ajili ya Safari na maelekezo mengine yote tutapewa Kesho inshaallah
Kuna vijana mawepambania hizi nafasi..inasikitisha kwamba wanaweza wasitimize ndoto zao kwa gharama hizi! All in all naamini watafanikiwa.
Biashara za watu hizi za kipigajiHaya mahitaji si kuna watu watashindwa kuyamudu ..mbona zaman majeshi yalikuwa yanahudumia hivi vitu imekuaje tena?
Wilaya ya mkinga njia ya Mombasa
Mkuu we umepita bila connection au ?Naenda kukaza mkuu, nikifikiria life la kitaa na miaka niliyosota lazima nikakaze
Bora nyie, tunaotoka Kagera nauli tu inazidi 150,000/=View attachment 2077958
maafande watarajiwa nimetoka ukonga maelekezo ndio hayoo na tunatakiwa kesho asubuh tuelekee pale na nauli yako mfukoni ili tukaandikishwe majina kwa ajili ya Safari na maelekezo mengine yote tutapewa Kesho inshaallah
Hongera Sana mkuu nenda kapambane haswaa!! Andaa pumzi kule Kuna baridi haswaa na mazingira yakuvutia haswaa!!!MCHAWI DAMU[emoji38][emoji38][emoji38]
Hilo chaka mnalijua vizuri au mnavamia kwa sababu ya njaa??
Kama mnatumia njaa mjue huko mbele mtajuta kuvamia vitu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]......jamaa umenifanya nimecheka sana....anayway hatulijui kaka ila njaa tuu LAKINI MUNGU NI MWEMA TUTAMALIZA SALAMA TUU
Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu
Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua?
Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde
Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Daah kwa Tanzania hii na vijana tunavyosota bora kuajiriwa serikalini haijalishi hio kazi ikoje dadekiii [emoji2][emoji2]Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu
Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua?
Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde
Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua? Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua? Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua? Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua? Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde Enewei siwatishi kapigeni kazi tu
Hii sio kauli ya kuwaambia askari walioaminiwa na kupitishwa kati ya wengi.Kumaliza kozi sio issue hiyo miezi michache tu
Nature ya ile kazi mliwahi kufatilia na kujua? Nature ya ile taasisi mnaijua?
Kumbukeni inaweza kuwa rahisi kuingia ila kutoka ikawa mbinde
Enewei siwatishi kapigeni kazi tu