Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Jamani vipi kuhusu tpdf nako kuna ambao wapo kozi
 
Kaka wameanza kuripoti leo mwisho wa kuripoti ni Jumapili. Ni Special Group wame contain mainjinia na madaktari tu.

Wanatakiwa 1500 tu. Ila walioripoti mpaka sasa nusu hawajafika.

Ila kuna wengine wapo Oljoro wanaendelea na Kozi sasa hivi.
Samahani Na wanareport kambi gani kaka hiyo ?
na kwa maana hiyo ni fani au ujuzi maalumu tu
 
Kaka wameanza kuripoti leo mwisho wa kuripoti ni Jumapili. Ni Special Group wame contain mainjinia na madaktari tu.

Wanatakiwa 1500 tu. Ila walioripoti mpaka sasa nusu hawajafika.

Ila kuna wengine wapo Oljoro wanaendelea na Kozi sasa hivi.
vp uhamiaji wakuu hawarudi tena kuchukua watu?nawakubali sana hawa jamaa
 
Kaka wameanza kuripoti leo mwisho wa kuripoti ni Jumapili. Ni Special Group wame contain mainjinia na madaktari tu.

Wanatakiwa 1500 tu. Ila walioripoti mpaka sasa nusu hawajafika.

Ila kuna wengine wapo Oljoro wanaendelea na Kozi sasa hivi.
Madaktar gani tena poti mbona mbanga ulinpa lonja mwez wa 7 ndo wanatujia madaktare

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Kaka wameanza kuripoti leo mwisho wa kuripoti ni Jumapili. Ni Special Group wame contain mainjinia na madaktari tu.

Wanatakiwa 1500 tu. Ila walioripoti mpaka sasa nusu hawajafika.

Ila kuna wengine wapo Oljoro wanaendelea na Kozi sasa hivi.
Ni madaktari na mainjinia walianza kuripot tokea wiki iliyopita makutupora jkt but had now hata 100 hawajafika
 
Ni madaktari na mainjinia walianza kuripot tokea wiki iliyopita makutupora jkt but had now hata 100 hawajafika
Duuuuh hata mia hawajafika hii inamaana gani ..wasomi wengi hawapendi majeshi au ni vipi
 
Ndio kaka,Wasomi wengi hasa hasa mainjinia na madaktari hawapendi msoto wa sijui jeshini labda kwa TISS wanapapenda.

Kwa mfano kwa madaktari wanasikilzia ajira za serikalini za juzi kati walizo apply na wanaogopa msoto wa kule jeshini ndo maana hawataki.

Na kwa mainjinia wako hivyo hivyo wanaamini mtaani mishe zipo nyingi tu watatoboa kuliko kwenda huko kuishi kwa amri.

Si unajua wote hao wanajiamini kuwa wana akili.

Imagine kwenye kundi la watu 1500 lakini hadi jana jioni walikuwa 70 may be leo watakuwa wameongezeka ila sidhani kama watakuwa wamefika hata 200.

Ila tungekuwa tumepata sisi watoto wa mbwa,wangetupunguza wenyewe.

Hapo ndio faida ya PCM,PGM,PCB na CBG inaonekana.

NB.
Maana intake hii ni ya SPECIAL GROUP ambao ni mainjinia na madaktari tu hakuna watu wengine.(Na wenye diploma wenye fani hizo pia wapo)
Hivi hawafanyi hata interview inamaana au mn kuna rafiki yangu pia ye n mechanical engineer yupo pale tangu Jana kalipoti
 
Jeshini hakuna interview za masomo ni maswali ya kawaida tu kujilidhisha kwamba mwenye hivyo vyeti ni wewe.

Zaidi wanaangalia physical fitness yako na mambo mengine kama macho,kama una alama mwilini na n.k

Kumbuka huyo rafiki yako this time tomorrow atakuwa anaapa mbele ya Mama Samia maana hawa wameitwa na JWTZ sio JKT.
Poti wanaoripoti wanaripoti kutokea mtaani au makambini?

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
EBU NIONDOE UTATA KIDOGO,YANI IPO HIVI HAO WANAORIPOTI JWTZ WALIWAANDIKISHA TANGU MWAKA JANA VYUONI KABISA HATA RAFIKI YANGU MIMI ALIKUWA MUST MBEYA KWA FANI YA MECHANICAL ENGENEER KWAIO JANA NDO KAPIGIWA SIMU KUWA ALIPOTI MAKUTUPOLA
Apo nmekuelewa mkuu kwa hio hao ni watu wao
 
Back
Top Bottom