Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Mbanga muhimu ila watu 3000 kwa mikoa 30 kila mkoa watu kama mia 100 daah hapo hata kama wewe ni kabwela lazima utusueconnection muhimu.pamoja na kuomba mungu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbanga muhimu ila watu 3000 kwa mikoa 30 kila mkoa watu kama mia 100 daah hapo hata kama wewe ni kabwela lazima utusueconnection muhimu.pamoja na kuomba mungu sana
Mwaka jana walikuwa na kipengele chao wasio na jakata wali apply onlinejakata lazima mkuu.nakatika bukutatu najua na nafasi za degree holder lazima ziwepo ngoja tuwasubiri waje
watu 100 hutoboi kama hauna connection mkuu huu mda wa kutafuta watu mapemaMbanga muhimu ila watu 3000 kwa mikoa 30 kila mkoa watu kama mia 100 daah hapo hata kama wewe ni kabwela lazima utusue
Oya nimeambiwa wengi walichomolewa na kurejea homu mkuu.jakata muhimu mpaka tfs sikuhMwaka jana walikuwa na kipengele chao wasio na jakata wali apply online
Kwa kutumia email yao
Mmh bora kutafuta connection hii nchi imejaa uozo sasa kama hatuna connection tunafanyaje ndugu yanguw
watu 100 hutoboi kama hauna connection mkuu huu mda wa kutafuta watu mapema
TFS majina wanatoa lini mkuu ?Oya nimeambiwa wengi walichomolewa na kurejea homu mkuu.jakata muhimu mpaka tfs sikuh
ukitaka kujua maana ya vurugu ya mtaa .kosa kazi mtaa utakuvuruga na utavurugika mpaka utajhisi na laana.utawala wa mama tuchomoke kitaaniMmh bora kutafuta connection hii nchi imejaa uozo sasa kama hatuna connection tunafanyaje ndugu yangu
Haiwezekani aisee lazima tupambane nao kwenye usaili lazima nafasi zetu makabwela lazima ziwepo tu hata chache [emoji1787]
Mtaani sitaki kupaskia kabisa Mungu asaidie kwakweli
hao wanapitia ajira portal mkuu.soTFS majina wanatoa lini mkuu ?
Hutaki jamu mkuuSafari hii mwendo ni cheti cha form four tu sitaki mbwembwe asee vyeti vingine vitulie tu.
huyu maza huruma imemjaa mkuu.Twende mbele turudi nyuma ukikosa kuingia kwenye vyombo mwaka huu na mwakani basi kuhusu vyombo Sahau tena
Daah Mungu afanye wepesi maana wale ukipiga usaili kama wanataka 7 unashangaa wanaongeza na wengine hata watatu walio jitahidi kwenye usaili waliofatia maana mnakuwa kwenye databasehao wanapitia ajira portal mkuu.so
Fuatilia ajira portal kuanzia mwezi ujao
Daah kweli mzeeTwende mbele turudi nyuma ukikosa kuingia kwenye vyombo mwaka huu na mwakani basi kuhusu vyombo Sahau tena
Show show afe kipa afe bekiSafari hii mwendo ni cheti cha form four tu sitaki mbwembwe asee vyeti vingine vitulie tu.
tfs wako poa.jpo mm nawakubali wazee wa mipakani immigration sema naona wamechelewa kuja tena kitaa.mana na hamu sna ya kuingia kichaka miba tangaDaah Mungu afanye wepesi maana wale ukipiga usaili kama wanataka 7 unashangaa wanaongeza na wengine hata watatu walio jitahidi kwenye usaili waliofatia maana mnakuwa kwenye database
Usaili huu wa mwisho walitufanyia hivyo.walichukua wanaowahitaji wahuni wangu wawili walikosa ila walijitahidi kwenye oral na written sahivi wanakula jakata tu dadekii
Migration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]tfs wako poa.jpo mm nawakubali wazee wa mipakani immigration sema naona wamechelewa kuja tena kitaa.mana na hamu sna ya kuingia kichaka miba tanga
Ile source ilisema baada ya sensa wanakujaMigration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]
Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?
Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
Mkuu umeamua kuwa mlinzi wa wafungwa ? hongera !! Ni vyeti halisi, Umri na ukakamavu wako tu.Habari za majukumu ndugu zangu,nimeitwa kwenye usahili Jeshi la Magereza, kwa anaejua format ya maswali Yao anisaidie tafadhali
.