Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

w

watu 100 hutoboi kama hauna connection mkuu huu mda wa kutafuta watu mapema
Mmh bora kutafuta connection hii nchi imejaa uozo sasa kama hatuna connection tunafanyaje ndugu yangu

Haiwezekani aisee lazima tupambane nao kwenye usaili lazima nafasi zetu makabwela lazima ziwepo tu hata chache [emoji1787]

Mtaani sitaki kupaskia kabisa Mungu asaidie kwakweli
 
Mmh bora kutafuta connection hii nchi imejaa uozo sasa kama hatuna connection tunafanyaje ndugu yangu

Haiwezekani aisee lazima tupambane nao kwenye usaili lazima nafasi zetu makabwela lazima ziwepo tu hata chache [emoji1787]

Mtaani sitaki kupaskia kabisa Mungu asaidie kwakweli
ukitaka kujua maana ya vurugu ya mtaa .kosa kazi mtaa utakuvuruga na utavurugika mpaka utajhisi na laana.utawala wa mama tuchomoke kitaani
 
hao wanapitia ajira portal mkuu.so
Fuatilia ajira portal kuanzia mwezi ujao
Daah Mungu afanye wepesi maana wale ukipiga usaili kama wanataka 7 unashangaa wanaongeza na wengine hata watatu walio jitahidi kwenye usaili waliofatia maana mnakuwa kwenye database

Usaili huu wa mwisho walitufanyia hivyo.walichukua wanaowahitaji wahuni wangu wawili walikosa ila walijitahidi kwenye oral na written sahivi wanakula jakata tu dadekii
 
Safari hii mwendo ni cheti cha form four tu sitaki mbwembwe asee vyeti vingine vitulie tu.
Show show afe kipa afe beki

Kupita wilayani kwa kutumia cheti cha form 4 kuna nafuu na hakuna gharama kuliko kutumia diploma au degree uitwe makao makuu hapo uandae malazi na nauli dadekii aisee
 
Daah Mungu afanye wepesi maana wale ukipiga usaili kama wanataka 7 unashangaa wanaongeza na wengine hata watatu walio jitahidi kwenye usaili waliofatia maana mnakuwa kwenye database

Usaili huu wa mwisho walitufanyia hivyo.walichukua wanaowahitaji wahuni wangu wawili walikosa ila walijitahidi kwenye oral na written sahivi wanakula jakata tu dadekii
tfs wako poa.jpo mm nawakubali wazee wa mipakani immigration sema naona wamechelewa kuja tena kitaa.mana na hamu sna ya kuingia kichaka miba tanga
 
tfs wako poa.jpo mm nawakubali wazee wa mipakani immigration sema naona wamechelewa kuja tena kitaa.mana na hamu sna ya kuingia kichaka miba tanga
Migration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]

Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?

Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
 
Migration Gwanda zao pia kali sana [emoji3]

Hivi hao polisi na majeshi mengine ya wizara ya ndani si miezi 6 mkuu mafunzo ?

Maana hao polisi waje Fasta wasituchomeshe mahindi mpka mda huu toka mwaka jana miezi sita bado tu kozi gani hio isiyoisha
Ile source ilisema baada ya sensa wanakuja
 
Habari za majukumu ndugu zangu,nimeitwa kwenye usahili Jeshi la Magereza, kwa anaejua format ya maswali Yao anisaidie tafadhali
.
Mkuu umeamua kuwa mlinzi wa wafungwa ? hongera !! Ni vyeti halisi, Umri na ukakamavu wako tu.
 
Back
Top Bottom