BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Hatari kichwa kidogo kinapenda sana kumponza kichwa mkubwaMinanzi hiyoo [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari kichwa kidogo kinapenda sana kumponza kichwa mkubwaMinanzi hiyoo [emoji1787][emoji1787]
mungu atunusuru kwakweliWanafunzi 150 wamefukuzwa katika shule ya polisi Siha moshi madai ni utovu wa nidhamu, IGP Sirro amelithibitisha hilo. Wakuu tukipata vibogi tusicheke na nyani ila tucheke na madoso tu, wazazi wanategemea makubwa halafu ukaharibu kazi kisa kicheichei au vileo ambavyo ukivumilia utavikuta tu baada ya kozi. Aah tusiruhusu hili.
Umefungua id mpya moja kwa moja komenti ya kwanza umekuja kwenye huu uzi kuuliza hili swaliNaomb kuuliza wakuu
Iv usahili wa mikoa tayar kw magereza..!?!
Umefungua id mpya moja kwa moja komenti ya kwanza umekuja kwenye huu uzi kuuliza hili swali
Nyie ndio mtakuwa wale afisa vipenyo
Nani hao?Depo wanaenda lini hawa ?
Itakuwa tuHuyo atakuwa tajiri wa JF sasa anaona aibu kuuliza mishe za magereza kwa ID ya zamani ambayo tunamtambua kama tajiri
Magereza watu waliomba majuz zilitoka nafas za magereza mwez huuu wa sita usaili level wilaya walimalizaNani hao?
Basi subiri mkoa kama wilayani ushamalizaMagereza watu waliomba majuz zilitoka nafas za magereza mwez huuu wa sita usaili level wilaya walimaliza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo atakuwa tajiri wa JF sasa anaona aibu kuuliza mishe za magereza kwa ID ya zamani ambayo tunamtambua kama tajiri
Tunakunywa maji tu.Ma afande mpo naona kumetulia sana huku
Wazi afande, tulinde damu tudumu kwenye chomboWazi afande
Epukeni madawiri
WaziWazi afande, tulinde damu tudumu kwenye chombo
Vile ulivyodhania kutakuwa na saili mbili ni sivyo Naona usaili ni ule ule mmoja tu kaka.tusubirie jikekaWazi