Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Wanafunzi 150 wamefukuzwa katika shule ya polisi Siha moshi madai ni utovu wa nidhamu, IGP Sirro amelithibitisha hilo. Wakuu tukipata vibogi tusicheke na nyani ila tucheke na madoso tu, wazazi wanategemea makubwa halafu ukaharibu kazi kisa kicheichei au vileo ambavyo ukivumilia utavikuta tu baada ya kozi. Aah tusiruhusu hili.
mungu atunusuru kwakweli
 
Alafu usaili ni ule ule mmoja tu yani . chakusubiriwa ni mkeka tu wa moja kwa moja
 
Back
Top Bottom