Gogo Kavu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2021
- 245
- 231
Kwani polisi nao waliomba nyongeza ya askarikwa motoo balaa.magereza ,polisi utumishi kote kimyaa aiseeh
nahisi kudanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani polisi nao waliomba nyongeza ya askarikwa motoo balaa.magereza ,polisi utumishi kote kimyaa aiseeh
nahisi kudanja
yaah 3000Kwani polisi nao waliomba nyongeza ya askari
niliweka tangazo kwenye thread ya polisi ngoja nilichekiTangazo walitoa lini
Tangazo walitoa lini
Hamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida niniKweli Asee ..sema kwa magereza tangu kamishna mpya alivyoteuliwa hajapata muda wa kukaa na kuongea na Rais kutokana na wingi wa mambo ikiwemo ziara nyingi za muheshimiwa Rais ,punde watakapokutana tu nadhani mambo yatakuwa mazuri .
kula utawala mkuu soon tuu mnaondokaHamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida nini
Itakuwa bajeti tu
Naliona tangazo la mwezi wa pili tu. Au ndo hiloInagoma ku upload bt kapitie uzi wa ajira za polisi
Basi safi ngoja tusubirie ,final PDFHamna hio haiwezi kuwa sababu maana kama kibali cha kuajiri washapewa, usaili ushaisha wa ngazi ya mikoa tushajua matokeo yetu na meseji walitutumia sasa sijui shida nini
Itakuwa bajeti tu
Ndio hivyo mwanangu tunapungua tu ...watakuja wengine komenti zetu zitabaki kama memory [emoji2]Huu Uzi unankumbusha kipindi kile ,walikuwa watu kama Chlorine gas ,uzi ulikuwa haupoi ...washamaliza kozi yao sasa na uzi hawaukumbuki tena [emoji23]
Inshaallahkula utawala mkuu soon tuu mnaondoka
Amini mwamba , tumuombe Mungu tukutane Kiwira aseeNdio hivyo mwanangu tunapungua tu ...watakuja wengine komenti zetu zitabaki kama memory [emoji2]
Mia mia mwana Kiwira moja hiyoAmini mwamba , tumuombe Mungu tukutane Kiwira asee
Bajeti kujitolea fresh JKT [emoji3]Hapa ngoma itakuwa bajeti tu
mkuu haya si majeshi na vitengo tofautiBajeti kujitolea fresh JKT [emoji3]
Hivi JKT kujitolea washazam chombonmkuu haya si majeshi na vitengo tofauti
Halafu naskia msimu wa mashamba huu madogo jkt wakanywe maji mengi [emoji2]
Tarehe 25 watakuwa tayari makambinHivi JKT kujitolea washazam chombon
Daaah sawa chifu,Tarehe 25 watakuwa tayari makambin