Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Dahh hongera sana broh,mungu ni mwema sema umeniacha broh [emoji28]
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
 
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
Tusisahau kuombeana dua mkuu...
 
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
ile id hawataki kila nikijaribu kuirudisha
 
Jina lile lile password ile ile ajabu kila nikilogin inaniambia incorrect password
 
Nina manzi wangu flani yupo Jkt flani yeye ameshachaguliwa na kesho anaripoti chuo cha magereza....sasa sijajua utaratibu wanaotumia hawa watu.
Kama yupo jkt utaratibu wote watapewa na wakuu wa vikosi ila kwa kumsaidia vifaa alivyokuwa navyo jkt ndiyo hivyo hivyo vitakavyomsaidia kule ila vyeti aisahau original
 
Nina manzi wangu flani yupo Jkt flani yeye ameshachaguliwa na kesho anaripoti chuo cha magereza....sasa sijajua utaratibu wanaotumia hawa watu.
Daaah kwahiyo wanaokuwa makambini, wanachukuliwaga hukohuko makambini chifu?
Kwahiyo kwenye hayo majina kuna wa makambini na wa kutoka mtaa au siyo?
 
Mkuu hongera sana , u deserve it. Kapambane. Huu uzi nabaki mimi tu mpaka natamani kulia[emoji848]
Asante mkuu .Na wewe utaondoka mkuu yaani lazima tupungue wote inshaallah [emoji120]

Hadi mda huu kila nikijitahidi kulala usingizi hakuna kabisa ..na kesho asubuhi na mapema nasepa Tukuyu mbeya
 
Back
Top Bottom