Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mpaka ukishituka kimesha chacha.Yaani wewe ngoja nikuweke kipolo
Wameshakuwai wakubwa zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka ukishituka kimesha chacha.Yaani wewe ngoja nikuweke kipolo
Mnaona sasa mimi nafanyeje hapa maana kwa mipasho Khadija kopa bado mtotoMtoto ray level za babu zako usiwe unadandia si eti ee ndio maana unaogopa kumtaja yaan tafuta ka saizi kako jaman
Si ndio mana nakwambia we bado mtoto.
Umeshindwa kujivisha hata mabomu
Unadhani ungekuwa umekua ungeshindwa kumwambia kweli?
Hapana
Kwendraaaaaa.Mnaona sasa mimi nafanyeje hapa maana kwa mipasho Khadija kopa bado mtoto
Anaitwa nani sasa kama umemjuame nimeshamjua pacha sijui wataelewana ko
Tatizo ubavu huo hana(G67584 imethibitishwa umepokea Tsh 100,000 kutoka kwa,,,,)hebu jaribu hiyo dawa kwenye mabano naona inawasaidia wengi sasa hivi.....
Hahaaaa! LabdaKwani mie Numbisa
Kweli mkuu hiyo ndio dawa ila tatizo namba yake sina au nitume pm(G67584 imethibitishwa umepokea Tsh 100,000 kutoka kwa,,,,)hebu jaribu hiyo dawa kwenye mabano naona inawasaidia wengi sasa hivi.....
Tatizo namba ya simu hataki kunipaTatizo ubavu huo hana
Huna lolote. Kama umeshindwa kufunguka atakupaje namba ya simu?Tatizo namba ya simu hataki kunipa
Kizazi cha BashiteHuna lolote. Kama umeshindwa kufunguka atakupaje namba ya simu?
Kweli mkuu hiyo ndio dawa ila tatizo namba yake sina au nitume pm
Haa mi mbona tayari huna habari???Soon you will be taken...
ata sijui nimesema tuAnaitwa nani sasa kama umemjua
Tatizo ubavu huo hana
Alishajulikana wewe chunguzaata sijui nimesema tu
Wasichana dharau wameziweka mbeleanao bhana😀hata kianzio cha msimbazi tu amtumie kama vocha