Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

😀😀😀safi sana hata harmorapa alianza hivi hivi,,lakini nowdays ana-hit mpka MTV. komaa best yangu umchukue mtoto..
Thanks bro kwenye kumvisha pete utakua kwenye kamati ya ulinzi. Tuko pamoja joooh
 
Back
Top Bottom