macho manne
Senior Member
- Jan 10, 2017
- 102
- 47
Umeingia juzi tu tiyari ushampenda mdada na ulijuaje kama ni mdada kwel maana humu jf watu wanatumia majina feki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uandae tu ng'ombe wa kutoshaHivi kweli unampango nimpate rafiki yako
Hahaa! Usimpe sifa jambo dogo hivyo kaingia katoka weeee mwisho anafunguka
HahahaaaAje kabisa maana niko vibaya ajili yake
Tatizo kahangaika sana.duuh mpe hata neno la kufariji..unampondea sana dah😀😀
Nina macho manne kama ID yakoUmeingia juzi tu tiyari ushampenda mdada na ulijuaje kama ni mdada kwel maana humu jf watu wanatumia majina feki
Sisi kwetu wakulima na wavuvi. Migebuka ya kutoshaUandae tu ng'ombe wa kutosha
Mtu mwemywe domo zegeSi amseme tuanze maandamano sasa
Tatizo kahangaika sana.
Haitoshi ng'ombe ndio kila kituSisi kwetu wakulima na wavuvi. Migebuka ya kutosha
Hapo sawa. Ila anantia mashaka badoyou have to fight for what you love....
Aishie huko na yeye, nilikuwa namuonaga bonge la mjanja kumbe waapiMtu mwemywe domo zege
Mpaka anatutia aibua wanaume hapa
Sasa anashindwa hata kumtaja
Tu jina wakat co yy anaenda
Kumtongoza
Keshamtaja mbonaMtu mwemywe domo zege
Mpaka anatutia aibua wanaume hapa
Sasa anashindwa hata kumtaja
Tu jina wakat co yy anaenda
Kumtongoza
Nimesha mtaja anaitwa NumbisaMtu mwemywe domo zege
Mpaka anatutia aibua wanaume hapa
Sasa anashindwa hata kumtaja
Tu jina wakat co yy anaenda
Kumtongoza
Kweli kabisa mkuuyou have to fight for what you love....
Nitampa maboti yetu pale lake TanganyikaHaitoshi ng'ombe ndio kila kitu
Nimemtaja tayari sema lingineAishie huko na yeye, nilikuwa namuonaga bonge la mjanja kumbe waapi
Mashaka yapi emmyHapo sawa. Ila anantia mashaka bado
cv yake bdo ndogo eeehAah hafai
Aaah shapoa,sasa n kuwinda tuhahahhh polen sana