Msaada: Je, unaweza kupata nakala ya taarifa zako ulizojaza NIDA?

Msaada: Je, unaweza kupata nakala ya taarifa zako ulizojaza NIDA?

Mbona ukiweka kidole chako taarifa zote zinakuja. Waambie kuna baadhi ya taarifa umesahau wakuulize maswali mengine....

Mbona ni simple tu. Au wanafikiri umefoji vidole?
 
Hao wanaouliza hizo taarifa wanazo sasa wanahakiki kwamba kweli ni zako au wewe ni tapeli? Sasa mkuu inakuwaje hujui hata ulikozaliwa . Nenda ulikojiandokisha ukaulize eti hii ni kata gani
 
kama namba yako ya nida unayo nitakuelekeza kuangalia kata yako!
namba nane za awali zinahusu taarifa zako za mwezi mwaka na tarehe ya kuzaliwa, namba tano zinazofuata zinahusu kata yako so kama huijui ziandike hizo namba Google itakuonyesha ni kata ipi!.

andika hivi mfano: "33219 Tanzania postcode location"
kisha search itakuletea ni kata gani huo mfano niliokuonyesha hiyo ni kata ya kawekamo ipo mwanza wilaya ya ilemela.
Tarakimu 3 za mwisho baada ya zile sifuri zinasimama baada ya nini?
 
Sehemu niliyojiandikisha nilikua mgeni, sijui ule mtaa unaitwaje na nilienda mara moja tu

Pia namba za cm nilizokua natumia wakati huo sizikumbuki tena
Nida hawana haja na namba ya simu ww umeandikisha sio sehemu uliozaliwa wakikujua jamhuri inakuweka ndani bila kutoka uliongopea taarifa nakushaur usiende
 
Nida hawana haja na namba ya simu ww umeandikisha sio sehemu uliozaliwa wakikujua jamhuri inakuweka ndani bila kutoka uliongopea taarifa nakushaur usiende
Jaman kwahyo kwenye makuz ya kudumu ujaze nini ? Fomu ilijazwa office za serikal za mitaa na wao ndo wanakuelekezza,kwahyo makaz yangu kwa wakat huo ningejaza niko iringa wakati nipo mbagala duh
 
kama namba yako ya nida unayo nitakuelekeza kuangalia kata yako!
namba nane za awali zinahusu taarifa zako za mwezi mwaka na tarehe ya kuzaliwa, namba tano zinazofuata zinahusu kata yako so kama huijui ziandike hizo namba Google itakuonyesha ni kata ipi!.

andika hivi mfano: "33219 Tanzania postcode location"
kisha search itakuletea ni kata gani huo mfano niliokuonyesha hiyo ni kata ya kawekamo ipo mwanza wilaya ya ilemela.
NGoja nijaribu
 
kama namba yako ya nida unayo nitakuelekeza kuangalia kata yako!
namba nane za awali zinahusu taarifa zako za mwezi mwaka na tarehe ya kuzaliwa, namba tano zinazofuata zinahusu kata yako so kama huijui ziandike hizo namba Google itakuonyesha ni kata ipi!.

andika hivi mfano: "33219 Tanzania postcode location"
kisha search itakuletea ni kata gani huo mfano niliokuonyesha hiyo ni kata ya kawekamo ipo mwanza wilaya ya ilemela.
Ubarikiwe sana aisee
 
Nafahamu ni mbagala kwa mbiku kujua kata inaitwaje,mtaa unaitwaje ndyo sikumbuki

Ila ule mtaa unaitwaje
Kwani hicho kitambulisho hujui kukitumia kusoma hizo code za Kata yako? Baada ya tarehe ya kuzaliwa mfano 20020214.....namba tano (tarakimu 5) zinazofuata ni code za Kata yako. Sasa hizo tarakimu zi-copy ukazibandike kwenye google engine search uandike kwa mfano "postal codes 67225" then iruhusu google ifanye searching. Utapata Kata yako na mtaa ulikojiandikisha ila kizungumkuti ni kwenye hizo taarifa zingine sasa.
 
kama namba yako ya nida unayo nitakuelekeza kuangalia kata yako!
namba nane za awali zinahusu taarifa zako za mwezi mwaka na tarehe ya kuzaliwa, namba tano zinazofuata zinahusu kata yako so kama huijui ziandike hizo namba Google itakuonyesha ni kata ipi!.

andika hivi mfano: "33219 Tanzania postcode location"
kisha search itakuletea ni kata gani huo mfano niliokuonyesha hiyo ni kata ya kawekamo ipo mwanza wilaya ya ilemela.
Asante, kumbe tumetoa maelekezo yenye kufanana! Baasii, kazi imeisha ni yeye tu!
 
Hapo chachaa. Ukipata kuulizwa km jina la mama au shule uliosoma kdg itakuwa afadhali. Lkn hayo mambo ya kata inakuwa mtihani hasa km sehemu uloandikisha ulikuwa mgeni. Halafu vijana wa siku hizi kila kitu hamkumbuki. Nyie kila jambo mnachkulia easy tu
Ukimwuliza aliyemchakata vizuri anakumbuka mpaka size na kunguni wa hilo ghetto
 
Hivi inawezekana kizipata taarifa zako ulizozijaza kwenye NIDA?

Mfano ulipozaliwa, Kata, Ulipojiandikisha n.k?

Ni muhimu sana.

NIDA Tanzania
Inatia walakini na inaweza kukuponza pia inawezekanaje usahau taarifa kama hiyo? Unaweza jiletea shida fulani hivi.

Kama sehemu uliyopo kuna wale vijana surveyor wa umeme mueleze hiyo ishu yako wana " vimashine vyao" ukitaja tu no ya NIDA kinajijaza paaap taarifa zote mpaka jina la mama yako
 
Hapo chachaa. Ukipata kuulizwa km jina la mama au shule uliosoma kdg itakuwa afadhali. Lkn hayo mambo ya kata inakuwa mtihani hasa km sehemu uloandikisha ulikuwa mgeni. Halafu vijana wa siku hizi kila kitu hamkumbuki. Nyie kila jambo mnachkulia easy tu
Labda ndio anaitafuta hiyo "Briliant future" nimeona kwenye avatar yako unmeandika "Brilliant future is based on forgotten past".
Siku hizi kua AI ukiiuliza inaweza kukukumbusha kila kitu ulichosahau, hajataka tu kuutafuat, ila siku kukiwa na umuhimu atakumbuka tu.
 
Mh! ulijaziwa hizo taarifa mpaka usizijue..? unahabari haohao nida ukiomba namba yako wanakuuliza hizo taarifa ili wahakiki kama ni wewe sasa inakuwaje tena wewe ukazitafute hizo taarifa ikiwa wao wenyewe walizipatia kwako!!!!!
Mkuu juzi nlikuwa najaza taarifa za bank kwa nida hata jina la mwanangu walisema nimekosea huyu sio anataka hizo taarifa amezisahau anajaribu tu Kucross check tu awe na uhakika, nakumbuka hata wakati naingia kwenye mfumo wa TRA nliulizwa maswali yakanitoa knockout, jina la mama nlikosa, mara nliojiandikishia nlikosa na ilikuwa sabasaba temeke, haya mfano umezaliwa kijiji kinaitwa KYENGEGE, kwenye database wameandika Kiengege, unadhani kuandika Kyengege itakubali? Haiwezi kabisa...
 
NIDA wanachofanya kusitisha matumizi ya namba ya kitambulisho kwa kuwa mtu hakuchukua kitambulisho chake alikojiandikisha mbali ndani ya kipindi cha mwezi mmoja tangu wampe tangazo la kusitisha si kizuri, huo muda ni mdogo. watazima vitambulisho vingi sana kwa mtindo huo. wangerefusha muda watu wasafiri kwenda mbali kufuata vitambulisho vyao walikojiandikisha
 
Sasa kama NIDA wakishirikiana na TCRA wanasitisha matumizi ya namba mtu aliyejiandikisha na kusajili hawaoni kuwa wanaleta vikwazo na mahangaiko kwa wananchi ambao hawakufika kuchukua vitambulisho vyao huko mbali walikojiandikisha ndani ya kipindi cha mwezi mmoja tangu watoe notisi ya kusitisha matumizi ya namba? Muda walioweka ni mfupi sana kuweza kusafiri umbali mrefu kwenda kituo kilipo kitambulisho. Wangetoa angalau miezi mitatu
 
Back
Top Bottom