KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
tuna kiherehere tungemuacha ahangaike huyu...š¤£Asante, kumbe tumetoa maelekezo yenye kufanana! Baasii, kazi imeisha ni yeye tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuna kiherehere tungemuacha ahangaike huyu...š¤£Asante, kumbe tumetoa maelekezo yenye kufanana! Baasii, kazi imeisha ni yeye tu!
Ni vizuri kuwasaidia wenzio mkuu! Ingawa kenyewe hakawezi kurudi hapa kakasema asanteni jamani nilifanikiwa!šštuna kiherehere tungemuacha ahangaike huyu...š¤£
Umemaliza tatizo..genius.kama namba yako ya nida unayo nitakuelekeza kuangalia kata yako!
namba nane za awali zinahusu taarifa zako za mwezi mwaka na tarehe ya kuzaliwa, namba tano zinazofuata zinahusu kata yako so kama huijui ziandike hizo namba Google itakuonyesha ni kata ipi!.
andika hivi mfano: "33219 Tanzania postcode location"
kisha search itakuletea ni kata gani huo mfano niliokuonyesha hiyo ni kata ya kawekamo ipo mwanza wilaya ya ilemela.
Acha kupotosha NIDA unajiandikisha sehemu yeyote ulipo sio lazima ulipozaliwa sio cheti cha kuzaliwa hicho. Na kama huna makazi ya kudumu kusahau details za sehemu ulipojiandikisha ni kawaida sana au namba ya simu uliyokua unatumia kipindi unajiandikisha.Nida hawana haja na namba ya simu ww umeandikisha sio sehemu uliozaliwa wakikujua jamhuri inakuweka ndani bila kutoka uliongopea taarifa nakushaur usiende
tukaroge...š¤£Ni vizuri kuwasaidia wenzio mkuu! Ingawa kenyewe hakawezi kurudi hapa kakasema asanteni jamani nilifanikiwa!šš
Ahsante bossInatia walakini na inaweza kukuponza pia inawezekanaje usahau taarifa kama hiyo? Unaweza jiletea shida fulani hivi.
Kama sehemu uliyopo kuna wale vijana surveyor wa umeme mueleze hiyo ishu yako wana " vimashine vyao" ukitaja tu no ya NIDA kinajijaza paaap taarifa zote mpaka jina la mama yako