Msaada: Je, unaweza kupata nakala ya taarifa zako ulizojaza NIDA?

tuna kiherehere tungemuacha ahangaike huyu...🀣
Ni vizuri kuwasaidia wenzio mkuu! Ingawa kenyewe hakawezi kurudi hapa kakasema asanteni jamani nilifanikiwa!😁😁
 
Umemaliza tatizo..genius.
 
Nida hawana haja na namba ya simu ww umeandikisha sio sehemu uliozaliwa wakikujua jamhuri inakuweka ndani bila kutoka uliongopea taarifa nakushaur usiende
Acha kupotosha NIDA unajiandikisha sehemu yeyote ulipo sio lazima ulipozaliwa sio cheti cha kuzaliwa hicho. Na kama huna makazi ya kudumu kusahau details za sehemu ulipojiandikisha ni kawaida sana au namba ya simu uliyokua unatumia kipindi unajiandikisha.
 
Ahsante boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…