appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Habarini za muda huu
Najua jamii forum ni forum yenye watu wa nyanja mbali mbali sasa nimekuja hapa kuomba msaada wa namna gan ntasajir dawa yangu ya kutibu bawasir ili nianze kuifanyia PA na kuibrand
Dawa yangu imekua na mafanikio makubwa katika kutibu bawasir imewatibu watu weng waliokata tamaa sasa nataka kuisajil ili itumike hata kwenye hospital maana haijawai kufel hata mara moja dawa ni ya kupaka kwa bawasir zote nje na ndan.
Mawasiliano yangu ni 0712505049 nipo dsm
Najua jamii forum ni forum yenye watu wa nyanja mbali mbali sasa nimekuja hapa kuomba msaada wa namna gan ntasajir dawa yangu ya kutibu bawasir ili nianze kuifanyia PA na kuibrand
Dawa yangu imekua na mafanikio makubwa katika kutibu bawasir imewatibu watu weng waliokata tamaa sasa nataka kuisajil ili itumike hata kwenye hospital maana haijawai kufel hata mara moja dawa ni ya kupaka kwa bawasir zote nje na ndan.
Mawasiliano yangu ni 0712505049 nipo dsm