Msaada: Jinsi ya ku hack simu ya mkononi

Hii ni manyoya tu utakufa watu washapiga wewe ndio baadae unashtukia ma SMS yako.

Kuingilia privacy ya mwezi wako itakua shida mno maana SMS na calls baadhi utashindwa kuzielewa.
 
Mkuu utakufa kwa presha au unaweza usitamani wanawake tena kwasababu ya mambo utakayoyakuta huko
 
Me naweza ila mpaka nijua unataka kufanya hivyo kwa lengo gani? karibu Pm tuelezane ukweli nikiona una maelezo ya msingi nitakuelekeza cha kufanya.
Kuna mtu namdai ka hela kangu ka miaka kweli Sasa akapita kwa rafiki yangu akisema mjuz fulani(Mimi) kwamba nilipoteza namba yake naomba anitafte,,Sasa jamaa aliepewa taarifa kagoma kunipa namba na kagoma pia kumpa nba mhusika nikawa na wazo nimhaki nichukue hiyo namba nijipatie ka haki kangu

Naombeni usaidiz
 
0620202409
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…