Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema "sijui" usiseme hakuna kitu kama hcho just kisa ww hujuihamna kitu kama hicho
Hii ni manyoya tu utakufa watu washapiga wewe ndio baadae unashtukia ma SMS yako.Nipe namba yako nikuelekeze, kuna application safi sana, ukiwa nayo hiyo na kama una mpenzi wako anatumia smartphone simu yake unaifanyia kitu cha kujijengea heshima sana. Msg calling na references zote zinaenda sehemu kujstore na wewe unazifata kwa email tu unazipata zote. Ni mzuri hata kama simu itaibiwa unaweza kufanya na ukajua wapi ilipo. Its free app
HAWA NDIO MA HACKA WENYEWETembelea blogu ya Afgreenwireless ili kupata habari, makala na uchambuzi kuhusu teknolojia ya smartdevices na mengineyo mengi: AFGREENWIRELESS: Fahamu Njia Rahisi ya Kupakua (Download) Videos za Youtube Ukiwa na App Inayoitwa OGYoutube
Kuna mtu namdai ka hela kangu ka miaka kweli Sasa akapita kwa rafiki yangu akisema mjuz fulani(Mimi) kwamba nilipoteza namba yake naomba anitafte,,Sasa jamaa aliepewa taarifa kagoma kunipa namba na kagoma pia kumpa nba mhusika nikawa na wazo nimhaki nichukue hiyo namba nijipatie ka haki kanguMe naweza ila mpaka nijua unataka kufanya hivyo kwa lengo gani? karibu Pm tuelezane ukweli nikiona una maelezo ya msingi nitakuelekeza cha kufanya.
Nielikeze nami pia huko Pm unaingia vp ? Hili nalo tatizoHapana mkuu, iko namna zaidi ya hizo apps za android.
0620202409Nipe namba yako nikuelekeze, kuna application safi sana, ukiwa nayo hiyo na kama una mpenzi wako anatumia smartphone simu yake unaifanyia kitu cha kujijengea heshima sana. Msg calling na references zote zinaenda sehemu kujstore na wewe unazifata kwa email tu unazipata zote. Ni mzuri hata kama simu itaibiwa unaweza kufanya na ukajua wapi ilipo. Its free app
Kwenye mambo nyeti wanatumia viswaswadu sikuhizi washakuwa wajanja sanaNa mademu wameshashtukia siku hizi wanatumia Lumia na iPhone 🙂
Wautafuta ugonjwa wa moyo kilazimaNna maana ya kupata calls na sms zote kutoka kwa namba inayo kuwa hacked