Jitahidi kuwaandikia kila baada ya masaa mawili Ingekuwa Vodacom ungepata mapema lakini Airtel kama umetumia Card ya mtandao (virtual card) futa kwanza hiyo Card kisha endelea kudai na huwa ni vema zaidi ukiwaandikia kwenye Email yao maana hiyo hufika kwa wahusika ambao wako serious zaidi.
Ila Customer care wanaralua tu bila mawazo kisha utaipata baada ya wiki ukituma Email unaweza usimalize siku yote kwa yote kama umetumia malipo ya kawaida kama Airtel money basi watafute kila baada ya masaa mawili upate uhakika wa namba ya tatizo lako kushughulikiwa.
Vinginevyo pesa umeikosa....
Ziada ya maarifa fanya kuingia Playstore Click kwenye picha ya Account yako kuona email yako kisha Payment and Subscriptions
Kisha Subscriptions
Angalia Apps ulizo subscriptions ukiona huzielewi elewi zingine futilia mbali kuna apps zikifa zinaibiwa(Hacked) kisha zinavuta hela jambo lililowavuruga watu wengi na wanalikalia kimya..
Utaona tu ujumbe umefanikiwa kulipia **** playstore wanaanza na hela ndogo kisha baadae Booom!
Rakims
| Hujambo, |
| Tumerejesha kiasi cha pesa cha TSh 71,000.00 kutokana na ununuzi wa Whats Deleted Premium (Recover Deleted Messages WAM), Kitambulisho cha Muamala GPA.3394-3018-0869-86297..0. Kiasi hicho kitarejeshwa kupitia njia ya kulipa uliyotumia kufanya ununuzi. Vidokezo:
Iwapo unahitaji usaidizi kuhusu jinsi ya kuwasha au kutumia bidhaa ambayo umenunua, tunakushauri uwasiliane na msanidi wa programu moja kwa moja ili upate majibu haraka. Unaweza kupata maelezo ya mawasiliano ya wasanidi programu kwenye ukurasa wa programu katika Duka la Google Play chini ya sehemu ya "Msanidi Programu" au kwenye stakabadhi yako ya agizo la ununuzi. Ili uzuie kufanya ununuzi kimakosa au ununuzi usiohitajika wakati ujao, tunapendekeza uwashe uthibitishaji, uangalie mipangilio yako ya uthibitishaji au ubadilishe nenosiri lako. Iwapo una maswali zaidi kuhusu Google Play, nenda kwenye Kituo chetu cha Usaidizi Msaada wakuu GOOGLE PLAY WAMENITUMIA MESSAGE YA KURUDISHA PESA JAPO BADO SIJAIONA KWENYE ACCOUNT YANGU |
| Hujambo, |
| Tumerejesha kiasi cha pesa cha TSh 71,000.00 kutokana na ununuzi wa Whats Deleted Premium (Recover Deleted Messages WAM), Kitambulisho cha Muamala GPA.3394-3018-0869-86297..0. Kiasi hicho kitarejeshwa kupitia njia ya kulipa uliyotumia kufanya ununuzi. Vidokezo:
Iwapo unahitaji usaidizi kuhusu jinsi ya kuwasha au kutumia bidhaa ambayo umenunua, tunakushauri uwasiliane na msanidi wa programu moja kwa moja ili upate majibu haraka. Unaweza kupata maelezo ya mawasiliano ya wasanidi programu kwenye ukurasa wa programu katika Duka la Google Play chini ya sehemu ya "Msanidi Programu" au kwenye stakabadhi yako ya agizo la ununuzi. Ili uzuie kufanya ununuzi kimakosa au ununuzi usiohitajika wakati ujao, tunapendekeza uwashe uthibitishaji, uangalie mipangilio yako ya uthibitishaji au ubadilishe nenosiri lako. Iwapo una maswali zaidi kuhusu Google Play, nenda kwenye Kituo chetu cha Usaidizi |
Huwa inachukua muda huenda saa 24 hadi 72 fanya kusubiri masaa 48 kisha watafute
Hujambo, Tumerejesha kiasi cha pesa cha TSh 71,000.00 kutokana na ununuzi wa Whats Deleted Premium (Recover Deleted Messages WAM), Kitambulisho cha Muamala GPA.3394-3018-0869-86297..0. Kiasi hicho kitarejeshwa kupitia njia ya kulipa uliyotumia kufanya ununuzi.
Vidokezo:
Tutakurejeshea pesa iwapo tulishatoza njia yako ya kulipa. Muda unaopita kabla ya pesa zilizorudishwa kuonekana na mahali ambapo pesa zitarejeshwa, unategemea njia ya kulipa uliyotumia. Unaweza kuona jinsi ulivyofanya malipo na hali ya ombi la kurejeshewa pesa kwenye wasifu wako wa Google Pay. Iwapo njia yako ya kulipa bado haijatozwa, hatutakutoza kwa ajili ya agizo hili.
- Iwapo ulilipa kwa kutumia kuponi katika duka la rejareja lililo karibu, mchakato wa kurejeshewa pesa unaweza ukafanyika kwenye salio lako la Google Play.
- Huenda ukapoteza uwezo wa kufikia bidhaa uliyonunua.
Iwapo unahitaji usaidizi kuhusu jinsi ya kuwasha au kutumia bidhaa ambayo umenunua, tunakushauri uwasiliane na msanidi wa programu moja kwa moja ili upate majibu haraka. Unaweza kupata maelezo ya mawasiliano ya wasanidi programu kwenye ukurasa wa programu katika Duka la Google Play chini ya sehemu ya "Msanidi Programu" au kwenye stakabadhi yako ya agizo la ununuzi.
Ili uzuie kufanya ununuzi kimakosa au ununuzi usiohitajika wakati ujao, tunapendekeza uwashe uthibitishaji, uangalie mipangilio yako ya uthibitishaji au ubadilishe nenosiri lako.
Iwapo una maswali zaidi kuhusu Google Play, nenda kwenye Kituo chetu cha Usaidizi
Msaada wakuu GOOGLE PLAY WAMENITUMIA MESSAGE YA KURUDISHA PESA JAPO BADO SIJAIONA KWENYE ACCOUNT YANGU
blessedHuwa inachukua muda huenda saa 24 hadi 72 fanya kusubiri masaa 48 kisha watafute
Habari wana JamiiForums,
Hivi majuzi account yangu ya Gmail ilifanya malipo kwenye airtel money kupitia google Play kwa app ambauo niliidownload playstore ambayo sikuwa awareness na kuchukua kiasi kikubwa cha fedha.
Niliwasiliana na networ provider yangu nikaambiwa niwasiliane na google play kupitia google play refund ili niweze kurudishiwa pesa zangu lakini bado sijapata mrejesho maana wanadai pesa inaweza kurudishwa ukitoa sabau mapema urudishiwe.
Naomba msaada njia nyingine ya ku REFUND pesa ili iweze kunirudia.
nilifanya kwa njia ya airtel moneyNgumu sana,
1. Sidhanikama kuna celular network inaweza pokea refund toka kwa supplier, ni mlolongo sana.
2. Lazima uliweka credit card details zako, mpaka pin na kila kitu, na ku authorize, pengine ndo ile michezo mwezi wa kwanza free, tu charge baadae.
3. Lazima umelopia Huduma ambayo umeipata, umetumia, haujaibiwa na mtu, ni service ambayo kama uja eenjoy uta ee njoy baadae.
4. Pia visa au master card, hazichukui ile kutoka kwa mpesa account, huwa yna fund card wakati wa kulipa, sasa kama ulitumia service, uki fund card most of the time ikiwa inazunguka, hela inaliwa.
Tafuta kurudishiwa kama:
- Kuna over pricing.
- Haukuwa ni wewe.
- No service involved.
nilifanya kwa njia ya airtel money
Na wamemuingilia kinyume lazima imuumeHiyo hela haiwezi kurudi mkuu,hapo zuia iyo huduma ili usiendelee kuingiliwa
Namuomba Mungu wa Mbinguni akusamehe,sio wewe unayeandika hapo na kupe mwisho mwemaNa wamemuingilia kinyume lazima imuume
Ww ndio muombe mungu mwisho mwema ππππ umefanywa vibaya muombe akupe kusahau yaliokukutaNamuomba Mungu wa Mbinguni akusamehe,sio wewe unayeandika hapo na kupe mwisho mwema
ulikua na ulazima kutumia hiyo hudumaImeniumiza sana hii kitu......japo google play wameniambia wanafanyia ombi langu la REFUND ila bado siwaamini sana
Kuna ulazima kutumia hayo mahudumaZuia hiyo huduma bila hivyo Kila mwezi kama Kuna balance kwenye Airtel money watakata .
Yamenukuta haya na ikipita 24hrs hakuna tena pesa utapata mkuu .
Pole ,lakini pesa ya kawaida sana hii,cha kufanya chukua hatua za disabled hiyo huduma ,mimi nilidhani wamebeba 2M nakuendelea
Hii ndo maana ya trial period ikiisha unaingia kwenye paid subscribers so ni wewe ulijiunga. Hakikisha ume unsubscribe kwa kufuata ushauri wangu hapo juu.hapana sikutumia card,halafu mm siku allow malipo.......ilipoisha trial period automatically yenyewe ikakimbilia kwenye namba ya simu ya account ambayo iko registered na email yangu,ikakata pesa kutoka local network provider(airtel)na kukata pesa
Uliombaje wakurudishieNASHUKURUNI WAPENDWA,PESA ZANGU ZANGU ZOTE ZIMERUDI.........MUNGU AWABARIKI KWA USHAURI WENU................NIMEJIFUNZA KITU