JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 160
Kweli we mvutaji
ndio navuta ndio maana nahitaj ushaur wenu jinsi ya kuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli we mvutaji
Bangi zimekuumiza sana mkuu....Tauta sobahouse uweze kuacha...
inaonekana ww ni.mgeni.sana kwenye maswala ya digital ina maana hujui watu wakichat nowadays leta X ina beba meaning ya leta S??????? usiwe una crash bila kuuliza hivi ni vitu vya kawaida sana usitake kukuza mada
hayo matumizi ya x badala ya s yapeleke huko fb nasio huku jf.....ushauri wangu unaanzia hapa
ni nyumba maalum zilizowekwa kuwasaidia watu kuwacha kutumia madawa ya kulevya...wao wana utaratibu mzuuri sana..
sizani kama ni kazi yako hii ndugu
kazi ya nani?
Jamani mimi ninahitaji ushauri wa mambo mbalimbali katika maisha ila sihitaji ushauri kutoka kwa vijana wadogo nataka watu wazima umri miaka 25 and above ndio.
Wanishauri na sio wanaume nataka kina dada na kina mama wao ndio wana ushaurI mzurI na ndio ninaouitaji coz ushauri wa wanaume ndio umenifanya niombe ushauri kwa kina dada na kina mama baada ya kunipoteza nina mambo mawili tu ambayo ndio nataka mnishauri 1.
USHAURI WOTE NITUMIE KWA TXT AU CALL 0656879668 kina dada na kina mama tu.
cha oljoro hichi
mkuu endelea tu maana naona inakusaidia
kama bangi ingekuwa haram isingeota