Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi

Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi

Ninachoipendea bangi inanifanya nijiamini hata kwe mazingira nisiyoyaweza we tuendelee kuunguza lizra mi sifikirii kuacha
 
Haya makitu sijui kama yanaachika, katika watoto wa kiume wa familia yetu ni mimi peke yangu sivuti, na sijawahi kuvuta, hao wenzangu wengine kuna wakati wanakuwa kama wehu na bangi zao, tena tukikutana wananikwepa kwenda kuvuta. Huwa naangalia tu!! Ila nimeamini hii kitu ukianza uachi!!
 
Unaweza kuacha lakini si ghafla bali kupunguza taratibu uvutaji na hatimaye unaweza kuacha kabisa. Tatizo lako ni kuwa umeweka imani kuwa ukivuta ndo unaweza kufanya mazuri basi jiambie katika moyo wako kuwa hata bila bangi naweza yaani kuwa positive na kila kitu, ukiijenga hii attitude baada ya muda utakuwa mpole, hardworker n.k bila kuvuta
 
Haya makitu sijui kama yanaachika, katika watoto wa kiume wa familia yetu ni mimi peke yangu sivuti, na sijawahi kuvuta, hao wenzangu wengine kuna wakati wanakuwa kama wehu na bangi zao, tena tukikutana wananikwepa kwenda kuvuta. Huwa naangalia tu!! Ila nimeamini hii kitu ukianza uachi!!

Safi Mkuu,

Hata usivute, Mi nakumbuka siku nilovuta kwa mara ya kwanza, nilikaa zaidi ya masaa manne, nikiji evaluate kimaisha, hatua nilizopiga, Uzembe nilofanya, na mambo kama hayo, basi kuanzia kesho yake, nikaanza kuwa responsible ktk maisha yangu.

Somewhere on the way, ndio nikajikuta naipa credit Bangi, for the change that it made in Me.
 
Canabis, yaani sipatii picha man unavyokuwa weed halafu mshua anachonga mbaya kila ukimcheki Aggggrr! unaona anakuletea majasho tu

Hutojua, Labda Usikie harufu, nikivuta nakuwa na change of Mood. Kwa alienizoea huhisi labda naumwa.
 
mkuu endelea tu maana naona inakusaidia
kama bangi ingekuwa haram isingeota

Asante,

Japo sitaki kukubaliana moja kwa moja na wewe, but Poa. Hii kitu iba negative impact ktk Afya yangu, but inaleta Positive impact ktk Personality yangu, ambacho ni kitu nimekuwa niki hustle sana kukifanyia marekebisho.
 
endelea usiache mkuu kwa maelezo yako inaonekana inakusaidia, na mda s mrefu utapiga hatua kutoka akil tmamu had ukichaa. big upp mkuu
 
Jamani wacha na mm niweke wazi leo mm nisha tumia sana bangi zaid ya miaka 7 ukwel sijawah fanya kitu chochote kibaya naijua vizuri bangi ila nashkuru mungu now ni mwezi wa.6 nimeacha na siitamani kwakwel niliamua tu

ila kwa sasa nimehamia kwenye sigara najitahid sana kuacha ila dah zaid yakupumzka wiki mbili natafta tiba juu ya hili....msaada plz
 
Stage uliyofikia...endelea tu...mpaka kuja kupost kwenye jukwaa la elimu!!..hiyo ni point of no return...

Tyta umepoteza energy kubwa kuandika maelezo yote haya ungetupia kapicha tu!
 
Last edited by a moderator:
1.Kale ka muda unakotumiaja kuvuta hiyo kitu
kabadilishe ukatumie katika michezo.
2.Tafuta jiko/mke ambaye hapendi hiyo kitu,
anaweza kukushawishi kwa namna moja au nyingine
kuacha.
3.Punguza rafiki zako wavutaji na ikiwezekana
achana nao kabisa.
4.Nenda kajiendeleze katika masomo,kwani hii
inaweza kukupunguzia tabia za kimazingira.
5.Usipende kuifanya hiyo kitu ndio kila kitu
katika/kuwa u/timamu katika mambo yako.
6.Ondoa dhana ya starehe ili ikamilike ni lazima
uvute hiyo kitu.
7.Kama ulikuwa hausali/kwenda kwenye nyumba za/ya ibada
ni vyema sasa ukaanza kufanya hivyo na kushiriki kila kitu
kinachohusu ushikishwaji mfano; kuimba kwaya,utumiakiaji n.k
8.Waambie rafiki zako,ndugu zako na jamaa wa karibu kuwa
umeacha kuvuta bhangi.
9.Jiulize ulianzaje na ulifanya hivyo kwa sababu gani hasa ya
muhimu,je kwa sasa kuna umuhimu wowote wa kuendelea nayo
na kama sivyo tumia mbinu ile ile kuanza kuacha taratibu.

Njia zipo nyingi karibia 90 za kuacha kutumia dawa za kulevya
ingawa nyingine ni ghali sana kuzitumia.
 
we vitu tu zitakusaidia sana kwenye maisha yako.
 
Ikiwa nikiivuta nakuwa katika Mood ambayo mimi deeply in My Heart ndio Mood nayoitaka kuwa/kuishi?

Mimi ni Muongeaji sana, mapepe sana, sio msikilizaji mzuri, mathali mara kadhaa nimekuwa nikikatiza watu nao zungumza nao, japo huwa najistukia, but tayar nakuwa kidogo nishakatisha mazungumzo, wakati mwingine naona hasira ya mzungumzaji, hasa pale baba anapobiambia "Heebu Nisikilize kwanzaaa", hapo nami najistukia, na kuanza kujilaumu, anyway nachotaka sema ni hiki, napokuwa nimevuta Bangi, basi nakuwa Mpole, sina maneno mengi, nakuwa settled, i think well wala sioni Uvivu kuwa in deep thoughts, mara nyingi, kama sio zote hata threads nazoandika kuhusu maisha yangu, mawazo yangu huyapanga vyema napokuwa "high" kama sasa, japo hakuna hata neno moha naloweka La uwongo about me, japo wapo wanao ni doubt.

Anywayz, Bangi hunipa Nguvu ya kufanya kazi ngumu, ambayo ktk hali ya kawaida ningeteseka sana mpaka kuimaliza, I never Panic when am high, i never Fight, i talk well, slow, i listen, i think before replying, yaani, i alway become that Person i alwayz want to be in Personality Manner, Sasa najiuliza how can i stop it?

When am high, am Cool, Calm, Gentle, Thinker, Decider, i act Upon what i Plan when am high, and when am high at time of implementing that Plan,

I remember one day nikiwa pale napokaaga siku zote napotaka kuvuta, nikiwa katkati ya nachofanya, Likaja wazo la Mshahara wangu kuwa mdogo kulingana na kazi kubwa nayofanya, hapa ni kwa namna nilivyojivalue, basi nikafikia azimia la kumface boss wangu Mdosi, keaho yake as well asubuh kabla sijatoka Room, nikastua, and Ghafla nikapata stregth, nikajikuta naongeza kuwa, sintofanya kazi wala kuripoti on my duty station mpaka kwanza nimeongea na Boss, wangu, na kweli nilipofika, nilimsubiri, alipoingia nikamfuata, nikamwambia, "Sir! May i please speak with about something, aliniuliza what was it about, nikamwambia My Salary Sir, hapo alikuwa amekaa kwenyw kiti chake, akazungumza kwa kihindi, akisema na secretary wake, kidogo yule dada akainuka jikabaki na Boss, japo Machozi kama yalitaka kutoka, nilijikaza nikamweleza kuwa sijafurahishwa na kiasi cha mshahara nacholipwa ukilinganisha na nafasi ya kazi, pamoja na dhanama ya ofisi nayoipewa, nikamtajia kiasi nachoa amini ni fair mimi kulipwa kulingana na kazi yangu, na Ujumla wa mali nao utunza in terms of both Value n Quantity, na kweli baada ya week mbili nilipewa barua ya kuongezewa Mshahara.

Ilinipa Ujasiri ambao nautaka siku zote, lakini naupara when and Only when am "High"......

Ni habari ndefu kidogo, but just imagine, najiuliza hapa sasa hivi, how can i stop it? And again how can i be the Man i wanna be intermz of my Personality, as i always be when Am High?

Ama nisiache?

Was just Thinking........!!!!! Mmmmmh.

uandishi wako ni dhaifu kila kona mkato hata pasipohitajika na maneno mengine hayaelewek. Vip ukiandika ukiwa hujavuta inakuaje?
 
Back
Top Bottom