IDDY SEIF MHANDO
Senior Member
- Apr 5, 2012
- 117
- 110
54150394051...hiyo ni moja tuu...kama system yenu ni ya ukweli inapanga....basi wengi mnawaibia...wacheni hayo mambo...tunawalipa ili mtusaidie hizo ni ofisi zetu wote.Tunaomba namba yako ya mita unayodai ipo tarif isiyosahihi tukujibu kwa data
tutalinyoosha hili hili shirika...watanyooka tu***** rais ataekuja kuleta campuni mbadala au zaidi ya tanesco ndio ataeweza kutatua shida za nchi hii
Hii mita ipo kundi sahihi mzee wa Tanga bali ina deni la Tsh 2,700,000/ lililotoka kwenda ya zamani54150394051...hiyo ni moja tuu...kama system yenu ni ya ukweli inapanga....basi wengi mnawaibia...wacheni hayo mambo...tunawalipa ili mtusaidie hizo ni ofisi zetu wote.
Harafu utoe majibu ni miaka mingapi system imeshindwa kurudisha wateja kwenye huduma sahihi.
Huogopi kumdanganya boss wako...?Hii mita ipo kundi sahihi mzee wa Tanga bali ina deni la Tsh 2,700,000/ lililotoka kwenda ya zamani
Acha kuvuta bangi mkuu, utakufa maskini, au utaambulia kuwa shoga!Admin mpaka sasa uko ofisini au unatembea na akaunti ya shirika mpaka nyumbani kwako?!?!
Mpendwa.mteja wetu wa Mkoa wa Tanga tumeona taarifa zako tunashukuru kwa ushirikiano wakoHuogopi kumdanganya boss wako...?
Unaweza ukawa na deni lote hilo kisha ukawa unapata huduma...?
Tena unazidi kunidanganye eti ipo kwenye kundi sahihi...inamaana natumia zaidi ya unit 72 kwa mwezi....?
Kuwa mnyenyekevu kwa bosi wako japo kidogo
hama huko msituni, viumeme vyako vya lea vinakusavabisha ulete lugha chafu hapa??Hivi nyinyi watu mnatatizo Gani Na huku kwetu kibangu mnakata umeme kila siku asubuhi mpaka jioni tena Bila taarifa yoyote kwanini msituambie kama mmeanza mgao wao umeme mbaya zaidi mnakata mpaka usiku Na joto hili la Sasa hivi kuweni Na adabu aseh msitufanye tukawareport kwa magufuli
Haya wekeni utaratibu sahihi ni dhambi kuiba mali ya watoa kodi...mwambie boss wako kuwa mimi boss wake namuhitaji arekebishe huduma wanaopaswa kuwa kwenye tarif d1 wawe huko na wanaopaswa kuwa kwenye t1 warudishe kwa haki...na kama wateja hawajui muwaelekeze ili wawe kwenye tarif sahihi wote tuna haki ya kula keki ya taifa pamoja...waoneeni huruma ndugu zetu wasio na uwezo mtu ana vyumba viwili bado mnamnyonya kwenye umeme...harafu mnatudanganya kuwa system inachagu.Mpendwa.mteja wetu wa Mkoa wa Tanga tumeona taarifa zako tunashukuru kwa ushirikiano wako
Kwani wanatumia umeme wa Lea umewashinda kitu Gani labda?hama huko msituni, viumeme vyako vya lea vinakusavabisha ulete lugha chafu hapa??
Ungenitukana matusi yooote lakini hilo mwisho, umenikosea saaaana. All in all asante.Acha kuvuta bangi mkuu, utakufa maskini, au utaambulia kuwa shoga!
Ungenitukana matusi yooote lakini hilo mwisho, umenikosea saaaana. All in all asante.
tutalinyoosha hili hili shirika...watanyooka tu
Tanesco mnachukua muda gani kumrudisha mtu aliekuwa matumizi ya chini kwenda ya juu, ni once akizidisha units 72. Au kuna matazamio mara kadhaa?
Na je akijirekebisha kunauwezekano kurudishwa tena chini? Au ndio Life Ban
Ukishanunua mpendwa.mteja.wetu
Afu ***** zako usijifanye we ndo unajua matusi tu humu Jf, sipendi kutukana but ikinirazimu ntafanya hivo.hii n kampeni endelevu ya kufuta mawazo uchwara humu!!
mimi nipo goba ofisi za tanesco zinapatikana wapi? nna tatizo kama hili.Asante ndugu mteja.
Kununua mara kwanza unanunua ofisi ya Tanesco iliopo karibu na wewe. Kwq mara ya kwanza unatakiwa kulipia kiasi kuanzia shilingi 18,000 kwa sababu unapofungiwa umeme unakuja na unit 50.
Ingawa kuna baadhi ya mita zinakuja na unit 10 hivyo basi baada ya kununua umeme ofisi ya Tanesco utatakiwa kufika pia ofisi ya Mhasibu kwa ajili ya kupatiwa unit zako ambazo umelipia (unit 40).
Ndugu mteja kumbuka huduma hio yote hapo juu ni BUREEEE!! hakuna gharama ya usajili wa mita
mimi nipo goba ofisi za tanesco zinapatikana wapi? nna tatizo kama hili.
54183670543 nimennua luku tayar but hamjanipa hizo 40 unit kama mlivosema em naomba msaada maana nshachoka hata kwenda huko tanesco kila siku.fika mbezi beach kuna ofisi ya TANESCO ndugu mteja