Msaada: Jinsi ya kwenda (kujilipua) Ireland au European countries kwa ujumla

Msaada: Jinsi ya kwenda (kujilipua) Ireland au European countries kwa ujumla

The Knowledge Seeker

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
3,418
Reaction score
5,028
Habarini za humu ndani wadau, niko hapa kuomba experiences na ideas mbalimbali tokea kwenu za namna na jinsi ya kwenda Ireland kwaajili ya kujilipua au kwa maana nyingine kutafuta maisha, nchi hiyo au Europe kwa ujumla.

Naimani hapa nitapata (tutapata) maarifa na uzoefu wa watu mbalimbali waliowahi kuishi huko. Hata mki share contact za Agents (trusted) scams not allowed kwasababu hela hizi zipo na hazijai ukiwa unazitafuta.

Ukinisaidia mimi, pia utakuwa umewasaidia na watu mwengine ambao wamefaidika pia na connections yako au zako uliyonipatia au wapatia wana jamii forums wenzako ( life cycle)

Naomba tuwe open minded kama wenzetu ( Nigerias, Kenyans, Uganda,...., ......, .....,)

Kuhusu mimi now nipo South Africa na safari ya ulaya ilikwisha aanzia Tanzania na Passport bado mpya kabisa.

Asanteni.
 
Habarini za humu ndani wadau, niko hapa kuomba experiences na ideas mbalimbali tokea kwenu za namna na jinsi ya kwenda Ireland kwaajili ya kujilipua au kwa maana nyingine kutafuta maisha, nchi hiyo au Europe kwa ujumla.

Naimani hapa nitapata (tutapata) maarifa na uzoefu wa watu mbalimbali waliowahi kuishi huko. Hata mki share contact za Agents (trusted) scams not allowed kwasababu hela hizi zipo na hazijai ukiwa unazitafuta.

Ukinisaidia mimi, pia utakuwa umewasaidia na watu mwengine ambao wamefaidika pia na connections yako au zako uliyonipatia au wapatia wana jamii forums wenzako ( life cycle)

Naomba tuwe open minded kama wenzetu ( Nigerias, Kenyans, Uganda,...., ......, .....,)

Kuhusu mimi now nipo South Africa na safari ya ulaya ilikwisha aanzia Tanzania na Passport bado mpya kabisa.

Asanteni.
Kama umri unaruhusu. Nenda kwa njia ya kusoma ni rahis mno na haina maswal meng
 
Habarini za humu ndani wadau, niko hapa kuomba experiences na ideas mbalimbali tokea kwenu za namna na jinsi ya kwenda Ireland kwaajili ya kujilipua au kwa maana nyingine kutafuta maisha, nchi hiyo au Europe kwa ujumla.

Naimani hapa nitapata (tutapata) maarifa na uzoefu wa watu mbalimbali waliowahi kuishi huko. Hata mki share contact za Agents (trusted) scams not allowed kwasababu hela hizi zipo na hazijai ukiwa unazitafuta.

Ukinisaidia mimi, pia utakuwa umewasaidia na watu mwengine ambao wamefaidika pia na connections yako au zako uliyonipatia au wapatia wana jamii forums wenzako ( life cycle)

Naomba tuwe open minded kama wenzetu ( Nigerias, Kenyans, Uganda,...., ......, .....,)

Kuhusu mimi now nipo South Africa na safari ya ulaya ilikwisha aanzia Tanzania na Passport bado mpya kabisa.

Asanteni.
Kitendo tu Cha kufika south Africa umetusuaa kila lakher kamanda katk mapambno yako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habarini za humu ndani wadau, niko hapa kuomba experiences na ideas mbalimbali tokea kwenu za namna na jinsi ya kwenda Ireland kwaajili ya kujilipua au kwa maana nyingine kutafuta maisha, nchi hiyo au Europe kwa ujumla.

Naimani hapa nitapata (tutapata) maarifa na uzoefu wa watu mbalimbali waliowahi kuishi huko. Hata mki share contact za Agents (trusted) scams not allowed kwasababu hela hizi zipo na hazijai ukiwa unazitafuta.

Ukinisaidia mimi, pia utakuwa umewasaidia na watu mwengine ambao wamefaidika pia na connections yako au zako uliyonipatia au wapatia wana jamii forums wenzako ( life cycle)

Naomba tuwe open minded kama wenzetu ( Nigerias, Kenyans, Uganda,...., ......, .....,)

Kuhusu mimi now nipo South Africa na safari ya ulaya ilikwisha aanzia Tanzania na Passport bado mpya kabisa.

Asanteni.
Hakuna haja ya kujirupua nchini Ireland hakuna mpango huko Ireland ni nchi masikini katika ulaya.Kama unataka kwenda ulaya nenda Ujerumani kisha huko nenda madisko utapata wanawake wa kuwaoa ili mradi uwe na nguvu za kiume za kuwatosheleza wazungu uwe na mshipa kweli hapo utampata mwanamke anaye tafuta mtu mweusi wa kulewa nawe ukisha mpata itakuwa rahisi kwako kupata vibali vya kusihi ujerumani. Au jiripue wewe kama ni msomali au mkongo lakini itabidi ujuwe japo kidogo lugha maojwapo kati ya hizo nchi 2 na Historia zao ndipo utakapoweza kufanikiwa.
 
Hakuna haja ya kujirupua nchini Ireland hakuna mpango huko Ireland ni nchi masikini katika ulaya.Kama unataka kwenda ulaya nenda Ujerumani kisha huko nenda madisko utapata wanawake wa kuwaoa ili mradi uwe na nguvu za kiume za kuwatosheleza wazungu uwe na mshipa kweli hapo utampata mwanamke anaye tafuta mtu mweusi wa kulewa nawe ukisha mpata itakuwa rahisi kwako kupata vibali vya kusihi ujerumani. Au jiripue wewe kama ni msomali au mkongo lakini itabidi ujuwe japo kidogo lugha maojwapo kati ya hizo nchi 2 na Historia zao ndipo utakapoweza kufanikiwa.
Asante. Maarifa naona unayo mengi naomba nikutafute kwa maelezo zaidi
 
Hakuna haja ya kujirupua nchini Ireland hakuna mpango huko Ireland ni nchi masikini katika ulaya.Kama unataka kwenda ulaya nenda Ujerumani kisha huko nenda madisko utapata wanawake wa kuwaoa ili mradi uwe na nguvu za kiume za kuwatosheleza wazungu uwe na mshipa kweli hapo utampata mwanamke anaye tafuta mtu mweusi wa kulewa nawe ukisha mpata itakuwa rahisi kwako kupata vibali vya kusihi ujerumani. Au jiripue wewe kama ni msomali au mkongo lakini itabidi ujuwe japo kidogo lugha maojwapo kati ya hizo nchi 2 na Historia zao ndipo utakapoweza kufanikiwa.
German kuna fursa mzee hebu tupe abc za uko natamani kwenda uko
 
Mku ulifanikiwa kupata mrejesho.
Na mm ninahitaji kwani nipo Dar ila kuna njia rahisi nimepewa yaani Uganda kuna majenti wengi ambao kwa Europe na America wanakutafutia Visa na kukuandalia safari.
Safari nyingi ambazo unaenda tayari na Mkataba wa kazi ni Dubai yaani kazi za Ulinzi sema mishahara yenyewe ndo hiyo ya Million na nusu mpaka mbili.
Malazi na usafiri juu yao isipokuwa chakula ni jitegemee.
South uko mji gani
 
Back
Top Bottom