Msaada: Jinsi ya kwenda (kujilipua) Ireland au European countries kwa ujumla

Msaada: Jinsi ya kwenda (kujilipua) Ireland au European countries kwa ujumla

Mku ulifanikiwa kupata mrejesho.
Na mm ninahitaji kwani nipo Dar ila kuna njia rahisi nimepewa yaani Uganda kuna majenti wengi ambao kwa Europe na America wanakutafutia Visa na kukuandalia safari.
Safari nyingi ambazo unaenda tayari na Mkataba wa kazi ni Dubai yaani kazi za Ulinzi sema mishahara yenyewe ndo hiyo ya Million na nusu mpaka mbili.
Malazi na usafiri juu yao isipokuwa chakula ni jitegemee.
South uko mji gani
Nipo Capetown huku.. ila kama hutojali hata hapa tunaweza share kwa faida ya wengine watakaopitia uzi huu. Wewe ulikuwa unataka kwenda nchi gani labda
 
Mku ulifanikiwa kupata mrejesho.
Na mm ninahitaji kwani nipo Dar ila kuna njia rahisi nimepewa yaani Uganda kuna majenti wengi ambao kwa Europe na America wanakutafutia Visa na kukuandalia safari.
Safari nyingi ambazo unaenda tayari na Mkataba wa kazi ni Dubai yaani kazi za Ulinzi sema mishahara yenyewe ndo hiyo ya Million na nusu mpaka mbili.
Malazi na usafiri juu yao isipokuwa chakula ni jitegemee.
South uko mji gani
OllaChuga Oc
 
Maujanja utayapata humuhumu kama watu hawatokua wachoyo. Ila kama uko serious aribu kuwa na vitu basic kwanza ndio usome direction wapi unataka kwenda
Namibia tu hapo jirani na South Kuna restaurant za kutosha wanatafuta ma shef cooker. Uku unaotea mzungu ukiwa mjanja na mpishi mzuri. Tatizo watu wanaleta dharau Sana.😂😂😂
 
Asee nami ninahangaika kuingia US, Canada, Norway na Finland. Nimecheza Sana Dv lottery, Na Express entry ya Canada Ila bado.huu ni mwaka wa tatu sijatimiza ndoto zangu. Ingawa elimu yangu iko chini Sana.Nina diploma ya famasia. Kama kuna connection yeyote ile niunge asee. Nitakushukuru Sana.
 
Tupe uzoefu wa express entry ya canada... Kwa mawazo niliyopata ni kutafuta agent wakukuwezesha kwenda, pili kuwa na cash ya mchakato wa kuelekea huko unakotaka.....

Kumpata agent nayo ni connection so inabid mtu aanze kutafuta connection ya hao agents. Wabongo wengi huwa hawana support kabisa kwa wabongo wenzao wanaotafuta exposure nje ya nchi, hii ndio asili yao na ndio mana huko nje unakuta kwa East Africa wakenya ni wengi wa UG vilevile compared to Wa TZ
Asee nami ninahangaika kuingia US, Canada, Norway na Finland. Nimecheza Sana Dv lottery, Na Express entry ya Canada Ila bado.huu ni mwaka wa tatu sijatimiza ndoto zangu. Ingawa elimu yangu iko chini Sana.Nina diploma ya famasia. Kama kuna connection yeyote ile niunge asee. Nitakushukuru Sana.
 
Subirini Kun mpango nausuka hapa na Biden kuhusu refugee private Sponsorship ikitiki...wale wote walioenda USA kama wakimbizi wataruhusiwa kuwadhamini ndugu zao kuwapeleka USA kwa kuwadhamini kila kitu,hii itaanza na vikundi,Taasisi zisizo za kiserikali, baadae hadi kwa mtu mmoja mmoja kama una ndugu jamaa au rafiki ,basi ana weza kuvuta Maandishi matatu.

Kikubwa kinachosubiriwa ni Biden asaini hilo azimio....Mimi kuna ndugu yangu alinitumia hii taarifa yupo Ohio cleaveland....akasema tusubiri ikitiki basi tuandae mabegi yawe tayari kwenda kupiga boksi...maana kule kazi ni kibao.
 
Subirini Kun mpango nausuka hapa na Biden kuhusu refugee private Sponsorship ikitiki...wale wote walioenda USA kama wakimbizi wataruhusiwa kuwadhamini ndugu zao kuwapeleka USA kwa kuwadhamini kila kitu,hii itaanza na vikundi,Taasisi zisizo za kiserikali, baadae hadi kwa mtu mmoja mmoja kama una ndugu jamaa au rafiki ,basi ana weza kuvuta Maandishi matatu.

Kikubwa kinachosubiriwa ni Biden asaini hilo azimio....Mimi kuna ndugu yangu alinitumia hii taarifa yupo Ohio cleaveland....akasema tusubiri ikitiki basi tuandae mabegi yawe tayari kwenda kupiga boksi...maana kule kazi ni kibao.
Wewe unasuka mpangoa na Biden.?
 
Subirini Kun mpango nausuka hapa na Biden kuhusu refugee private Sponsorship ikitiki...wale wote walioenda USA kama wakimbizi wataruhusiwa kuwadhamini ndugu zao kuwapeleka USA kwa kuwadhamini kila kitu,hii itaanza na vikundi,Taasisi zisizo za kiserikali, baadae hadi kwa mtu mmoja mmoja kama una ndugu jamaa au rafiki ,basi ana weza kuvuta Maandishi matatu.

Kikubwa kinachosubiriwa ni Biden asaini hilo azimio....Mimi kuna ndugu yangu alinitumia hii taarifa yupo Ohio cleaveland....akasema tusubiri ikitiki basi tuandae mabegi yawe tayari kwenda kupiga boksi...maana kule kazi ni kibao.
Hivi kama una rafiki wakike anaishi Uingereza je ana weza kukufanyia mpako ukaenda Uingereza?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kama una rafiki wakike anaishi Uingereza je ana weza kukufanyia mpako ukaenda Uingereza?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Yeah...! Makaratasi tu...

Barua ya mwaliko...
Passport yake kopi
Sometimes hati ya kiapo toka kwa mwanasheria kulingana na mahusiano yenu, kama ni mke, dada, shangazi etc...
Na makorokoro mengine ambayo ubalozi wame hainisha ili uweze pata visa...

Ni kama vile chuo kinapo kufadhiri au taasisi fulani kwenda kule na kila kitu ni juu yake... ndivyo hivyo ina kuwa...

Una choma mapema sana...
 
Sasa hivi USA wanaweza kufuta ile sheria yao ya Section 42 ya kurudisha mtu yeyote alieingia USA kimagendo nimeona toka jana border ya El Paso iliyopo Texas wahamiaji wamelala kwenye majengo wakitegemea leo au kesho iwe imekwisha muda wake ingawaje pana muda Mahakama huwa inaingilia kati hiyo njia watu wengi walikua wanashuka Mexico City harafu wanatambaa mpaka kwenye huo mpaka kwa bus na kuingia USA...
 
Back
Top Bottom