Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana,hiyo ya kwanza na ya pili amewahi kufanya Pasta Hananja enzi zake za ujanaChukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.
Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake
Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,
Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.
Utakuja kunishukuru 😂
Mimi huko nyumbani kuna eneo nimenunua msituni kabisa mwisho wa makazi ya watu ,nikizeeka nitaishi huko sitaki kero kabsa.Kabla ya kununua kiwanja jaribu kuangalia jirani zako , wakati wa kuweka mipaka hakikisha wapo wote pamoja na huyo anayekuuzia.
Ngoja nipige msosi kwanza
View attachment 3023368
Unadhani ni jambo rahisi sana hvyo eeKabla ya kununua kiwanja jaribu kuangalia jirani zako , wakati wa kuweka mipaka hakikisha wapo wote pamoja na huyo anayekuuzia.
🤣🤣🤣🤣Matokeo yake ni yapi mkuu kukimbia eneo au inakuwaje ila unavisa sanaChukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.
Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake
Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,
Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.
Utakuja kunishukuru 😂
Atakuogopa 😂🤣🤣🤣🤣🤣Matokeo yake ni yapi mkuu kukimbia eneo au inakuwaje ila unavisa sana
Hata sijui, aulizwe mzazi wangu 😂Huu uhuni umejifunzia wapi? 😀😀😀
Ukijijua wewe na mungu wako inatosha, huwezi furahisha wote,. Mjambishe kwanza ashike adabu.ataniharibia cv pia nitaonekana mwanga🏃♀️🤣🤣🤣
Ushawahi kusikia story mpaka unajiuliza huyu anayesemwa ni mimi au ni mwingine?😂🤸 Leo nimecheka sanaaHahah naona baada ya hapo The beekeeper unataka ukakichafue kama kwenye movie...