Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

Pole jaribu pitia upya karatasi yako ya kuuziwa hilo eneo urefu na upana wake, Kama uko sahihi ni haki yako songa mbele kudai haki yako ila mwisho wa siku usiache nia yako njema ya kuacha barabara kwa majirani zako
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Usicheke na waswahili watakupanda kichwani.

Nipe tenda hiyo nimuwekee ngozi za chui uwani halafu namletea kipira, huyo mtaonana baada ya miaka 30 kama atatoka jela salama
 
Pole jaribu pitia upya karatasi yako ya kuuziwa hilo eneo urefu na upana wake, Kama uko sahihi ni haki yako songa mbele kudai haki yako ila mwisho wa siku usiache nia yako njema ya kuacha barabara kwa majirani zako
Wewe huwajui waswahili, hawa ni wa kuwavalia sura ya kazi, jirani mwema atajionesha kwa matendo yake na jirani mshenzi muoneshe wewe ni mshenzi kuliko yeye.
 
🤣🤣🤣🤣🤣 weeee wapo unanijaza upepo wew nijichanganye kwenye kumi na nane za jirani akishindwa huku ataenda kule
Nakwambia hamna lolote, dar hakuna mganga wote ni wachumia tumbo.
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Hati au Ile karatasi ya mauziano si inaonesha ukubwa wa kiwanja chako? tumia hiyo kutatua huo mgogoro kwa kuonesha karatasi moja wapo. ikishindikana wapeleke kwenye mabaraza ya aridhi
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
 
Kwa maelezo yako mimi nahisi wewe ndie tatizo.

1. Kama wewe ulitoa njia kwenye eneo lako mashahidi walikuwa kina nani?

2. Kama eneo ni lako why usiwape documents zako za umiliki kama ushahidi ?

3. Kama wewe ndie ulietoa njia, why wenyekiti na viongozi wa mtaa wasiwe upande wako ?

4. Majirani wote kwa nini hawakutetei wewe ?
 
Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Ukifunga barabara ambayo imeishapitika zaidi ya miaka mitatu litakuwa kosa na itakula kwako.
ushauri wangu ni kwamba,kama aliyekuuzia bado yupo hai mtumie.maana atakuwa anajua mipaka ya eneo alilokuuzia.Itakusaidia kumnyamazisha huyo jirani yako.
Pili,kama kwenye barua uliyonunulia inaonyesha ukubwa wa kiwanja chako,waambie hao viongozi mkafanye vipimo ili ukweli uwe dhahili.
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
mie nafkir ungekuja na picha ya ukuta ulivyo njia na panapowagombanisha na iman ungepata msada zaid wa mawazo kwa wadau hapa ila kwa maelezo tu aijtoshelez mfno ujataja sehem usika pia pengne ote mnavunja shelia sehem aistahil ujenz ila pole kwa changamoto
 
Chukua kuku usimchinje mnyonyoe manyoya yote, mvalishe shanga kisha mtupie kwake.

Baada ya siku 3 chukua paka mnyoe panki, mvalishe kitu kama hirizi mtupie kwake

Siku ya 5 chukua chura mvalishe maguo, mshonee ndani awe kama hirizi kisha tupia kwake,

Siku ya saba nunua drone, iveshe nguo nyeupe irushe juu iwe kama jini linapepea.

Utakuja kunishukuru 😂
Kaka 😂😂😂😂
 
Wewe huwajui waswahili, hawa ni wa kuwavalia sura ya kazi, jirani mwema atajionesha kwa matendo yake na jirani mshenzi muoneshe wewe ni mshenzi kuliko yeye.
No sawa apime eneo tu Kisha kama ni lake kweli adai haki yake, hata hiyo njia anaweza toa kwa wapitaji na yeye kulipia sehemu ya ardhi iliyotolewa, suala ya njia ya kupita ni haki ya msingi katika Sheria ya Ardhi ila haipatikani bure awauzie tu, kiungwana
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Fuga nyoka wengiii,na kila siku hakikisha anakutana na nyoka mlangoni kwake,huyo lazima atakupisha na utaishi kwa raha bila jirani mkorofi🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Kama mjuavyo, viwanja ambavyo havijapimwa huwa havina barabara, hivyo ili kupata njia, inabidi busara zitumike. Mimi, kwa kiherehere changu, nikamega sehemu kidogo ya kiwanja changu kwa mbele ili kupata barabara ya kupita gari na watu wa nyuma yangu waweze kuitumia.

Jirani niliyepakana naye upande wa pili wa hiyo barabara niliyotoa ndiye pasua kichwa. Kwa sasa anasema yeye ndiye aliyetoa barabara na ni sehemu ya eneo lake, hivyo ninapaswa kurudi nyuma hatua moja na nusu.

Nikaamua kuweka ukuta kuepusha mgogoro naye, lakini bado anataka ukuta wangu uvunjwe. Anadai nimejenga barabarani. Wenyeviti wote wapo upande wake, wakidai nimejenga barabarani. Ninapowaambia kuwa barabara ni sehemu ya eneo langu na jirani ndiye anayepaswa kurudi hatua kadhaa nyuma ili barabara iwe pana, hawanielewi na wamenikomalia. Jirani ana lugha isiyofaa, si mstaarabu, anatumia nguvu na mabavu ili nivunje ukuta.

Nimewaza kufunga kabisa hiyo barabara, ila nawaza majirani wa nyuma yangu watapita wapi. Naomba mnisaidie namna ya kushughulika na mtu wa namna hii maana wenyeviti wote wapo upande wake, nahisi wamepewa mlungula ili waikandamize haki yangu. Nimewaambia sitaki usumbufu na sijajenga ukuta kwenye eneo la mtu.
Kwani eneo lako halina mpaka? Na kama lipo hadi serikali z mitaa c wanajua mipaka yako kama kweli upo sahihi iweje wote waseme umekosea wew kama una hati ya kiwanja c inaonyesha mipaka?
 
Ukiona kwenye sheria anakuwahi kwa mbele basi uchague moja ya kua mpole au ufunge safari ya kusini au magharibi mwisho wa reli
Mtu anayekuwahi kwa mbele kwenye sheria hii huwa balaa sana, na mwisho wake huwa mgumu sana.
 
Swala lako mbona ni rahisi kabisa Mkuu.

Kwakuwa maeneo yana ukubwa fulani basi ni wazi eneo lako litakuwa limepungua.ukubwa baada ya wewe kutoa sehemu ya bara bara. Sasa wewe chukua mkataba wako waoneshe ukubwa alafu mpime eneo kisha mtapata ukubwa uliosalia. Ugomvi unahamia kwake.

Mfano eneo lako ni 30M*30M sasa wewe umemega 1.5M moja kwa moja eneo lako litabaki 30M*28.5M. Vile vile lipimwe na eneo lake ujulikane ukubwa wake ni ngapi, namba hazidanganyi ukweli utakuwa wazi.

Usihangaike sana na wajinga wacha wajihangaikie wenyewe.
 
Back
Top Bottom