Anganjwiri92
Member
- Sep 27, 2020
- 30
- 44
Wameita lini na wametumia njia gani simu au wamebandika majina?, mie niliomba msaidizi wa ofisi. Kimya mpaka sasa au ndio washakula kichwaHabari wanadau!! Nimechaguliwa kuitwa kwenye usaili tume ya Utumishi wa Mahakama kada ya ulinzi ambapo usaili unafanyika tarehe 17/05/2022,Sijawahi fanya usaili wa Mahakama kada ya ulinzi naomba mnijuze yafuatayo
1. Maswali kutokana na hii kazi
2. Kiwango cha mshahara
3. Nizingatie nini kufaulu usaili huu
Ahsante naomba kuwasilisha
Ingia website yao utayaona mkuuWameita lini na wametumia njia gani simu au wamebandika majina?, mie niliomba msaidizi wa ofisi. Kimya mpaka sasa au ndio washakula kichwa
Oya,unajua unakera na hili tangazo lako kila uzi unaliweka?HR Tanzania
Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Cryptot.me
jiunge huku uulize swali lako
Tangazo lipi mzeeOya,unajua unakera na hili tangazo lako kila uzi unaliweka?
Ukiachana na maswali utakayoulizwa,tenga pembeni hela ya soda utajanishukuru uko baadaeHabari wanadau!! Nimechaguliwa kuitwa kwenye usaili tume ya Utumishi wa Mahakama kada ya ulinzi ambapo usaili unafanyika tarehe 17/05/2022,Sijawahi fanya usaili wa Mahakama kada ya ulinzi naomba mnijuze yafuatayo
1. Maswali kutokana na hii kazi
2. Kiwango cha mshahara
3. Nizingatie nini kufaulu usaili huu
Ahsante naomba kuwasilisha