Msaada juu ya tatizo hili la mkopo wa bank

Msaada juu ya tatizo hili la mkopo wa bank

Ume prove kweli wewe is the DEALER.
Umetusaidia wengi.

Ila Mhusika kuna kitu kimoja ningependa kujazia hapo.Kwanza Pole kwa matatizo.
Unasema wamefunga maduka yote ya Dawa ukiachilia famas,hapo inamaana duka lako ni la Dawa baridi,na hata hivyo kuna sababu ya kwanini wanayafunga maduka hayo.
Sifa kubwa wanayoangalia na wahusika wengi hushindwa ni kuwa na mfanyakazi ambae ni mfamasia kitaaluma.
Maana kwenye kuanzisha haya maduka watu wengi tunapita njia zile za mkato kwa kumtafuta mfamasia wakati wa usajili kama mdhamini na mhusika,sasa inapotokea wamestukiza ukaguzi basi hapo ndio inakuwa sawa na hizi Dispensary zetu zinazofungwa kila siku.
Naamini serikali haiwezi kufungua dula la mtu kama anavigezo vyote,maana sheria haijabadilika ila watu kuifuata ndio issue.
Halafu acha ubinafsi:-
Huyo ni Mkeo,sasa unaposema ameweka nyumba yako dhamana ni kumtenga.
Sema ameweka nyumba yetu dhamana.
Tusiwe na tabia ya kumuona mke ni mwili mmojka wakati wa kupata pesa tu,maana najua alipopata mshiko,majina kama Honey,Babie,Sweetie yalikuwa kibao.
Leo hii kwenye tatizo inakuwa tena ameweka dhamana nyumba yangu,badala ya kusema yetu.

La mwisho ni kwamba makosa pia yalifanyika kwenye namna ya ku inject huo mkopo kwenye biashara,huwezi kukopa all 10m naa ikaingiingiza kwenye biashara,na kwa ufaham wangu wa maduka hayo ni kamba kama duka limeweza kupewa mkopo huo inamaana angalau lipo vizuri,at least 6 - 7m ingetosha kujaza mzigo wa maana,then iatakayobakia ndio itumike kama back up flani hivi ya mkopo wakati unaisoma biashara husika.Hapo inakuwa inakupunguzia presha pindi ikitokea tatizo.
Yapo matatizo mengi sana,kuna watu maduka yao yanaungua,na mbaya zaidi Bank wanatabia ya kuuliza Bima,yaani kama biashara yako ina bima,na mbaya zaidi hawakuulizi wakati wa kuchukua mkopo,ila wanakuuliza likiishatokea tatizo kama la moto.Sasa hii ni kusema kwamba mkopo wowote unapochukua hakikisha huweki pesa yote kwenye biashara moja.

Duka la Dawa Muhimu halihitaji kuwa na pharmacist, ndo point nzima ya mradi huu kuleta maduka yanayoweza kuprovide basic medicine kwa wananchi bila complication ya kufungua Pharmacy ya kweli ulikuwa unapitia kozi fupi tu unafungua.

Sasa sielewi imekuwaje TFDA wameamua kuyafunga baadhi ya maeneo nadhani kuna wakubwa wanaona inawapunguzia biashara kwenye pharmacy zao.

Kwa upande wa deni itabidi ulipe kivyovyote, benki inaweza ikaadjust muda wa mailpo labda lakini kwa vile umeweka nyumba deni limekuwa lako pia sio la biashara tu, hii ndo hatari ya ku cosign loans.
 
Upo sawa sehemu kubwa but duka la huyu mke wangu lipo kisheria na ameliendesha tangu mwaka 2009 pia ukaguz wa kila aina umepita na ukiliacha salama shida imeanzia kwenye kuliboresha toka baridi kua muhimu na pia alifanya hivyo na mamlaka huska wakalipitsha shida imekuja ni kua eti eneo lilipo sasa halitakiwi duka la aina hiyo tena ispokua famas eti duka la aina hii lipelekwe nje ya mji upo hapo mkuu.
Hapo kune Escrow nyingine,watu watakuwa wameishapiga hela kwa wenye maduka makubwa ya Dawa ili nyie vidagaa muhame mji.
Hembu jiungeni na undeni umoja wenu wa muda kisha tafuteni mwanasheri mzuri muwapeleke Mahakamani.
Hakuna sheria hiyo.
Dar ndio jiji kubwa,lakini katikati ya mji kuna maduka kama hayo kibao.

Kwa maelezo hayo hapo ni Dhulma tu,na mkiona mkuu wa mkoa wenu nae anajifanya bingwa wa mipango mjue kaisha kula chake.
Machinga wahamishwe,mamalishe watimuliwe,hadi duka la dawa?kisa matajiri ndio wafanye biashara.
Iteni waandishi wa habari,maana hawa ndio wazee wa kuibia uonevu huu.Kisha tafuteni mwanasheria wenu mfungue kesi.

Maana haya huko mtapohamia wakiona kuna tajiri mwingine anataka kuwekeza kwenye biashara hiyo watawaambieni nendeni vijijini.

Msikubali kirahisi namna hiyo,haki yenu kisheria ipo
 
Hapo kune Escrow nyingine,watu watakuwa wameishapiga hela kwa wenye maduka makubwa ya Dawa ili nyie vidagaa muhame mji.
Hembu jiungeni na undeni umoja wenu wa muda kisha tafuteni mwanasheri mzuri muwapeleke Mahakamani.
Hakuna sheria hiyo.
Dar ndio jiji kubwa,lakini katikati ya mji kuna maduka kama hayo kibao.

Kwa maelezo hayo hapo ni Dhulma tu,na mkiona mkuu wa mkoa wenu nae anajifanya bingwa wa mipango mjue kaisha kula chake.
Machinga wahamishwe,mamalishe watimuliwe,hadi duka la dawa?kisa matajiri ndio wafanye biashara.
Iteni waandishi wa habari,maana hawa ndio wazee wa kuibia uonevu huu.Kisha tafuteni mwanasheria wenu mfungue kesi.

Maana haya huko mtapohamia wakiona kuna tajiri mwingine anataka kuwekeza kwenye biashara hiyo watawaambieni nendeni vijijini.

Msikubali kirahisi namna hiyo,haki yenu kisheria ipo

Ukweli mtupu mkuu,inasemekana zonal pharmacyst ana famasi zake huko pembeni pia hawa mafamasia wa jiji mkoa na wilaya wanafamasi hivo wadelete hizi ndogo ili biashara ibaki upande wao,maana hii issue ya maduka ya dawa muhimu imekua ni sera ya taifa na kila aliekua na duka alihudhuria mafunzo pia akaajili muuzaji mwenye sifa walizotaka lakn wanabadilika tena.
 
Duka la Dawa Muhimu halihitaji kuwa na pharmacist, ndo point nzima ya mradi huu kuleta maduka yanayoweza kuprovide basic medicine kwa wananchi bila complication ya kufungua Pharmacy ya kweli ulikuwa unapitia kozi fupi tu unafungua.

Sasa sielewi imekuwaje TFDA wameamua kuyafunga baadhi ya maeneo nadhani kuna wakubwa wanaona inawapunguzia biashara kwenye pharmacy zao.

Kwa upande wa deni itabidi ulipe kivyovyote, benki inaweza ikaadjust muda wa mailpo labda lakini kwa vile umeweka nyumba deni limekuwa lako pia sio la biashara tu, hii ndo hatari ya ku cosign loans.

Mkuu bank watanipa hata chance ya kujipanga hata 3month ndo anaanza kulipa maana kwa muda huo nitakua na kitu mbadala.
 
Na ndio maana nikasema.Hapo kuna hujma ya wafanyabiashara wakubwa kwa kulishia rushwa
Nyie fanyeni haya
a)Iteni waandishi wa Habari,hakikisheni na ITV wamo
b)Jiungeni umoja wenu wa wenye maduka ya Dawa madogo na ya kati
c)Tafuteni mwanasheria kisha muende mahakamani
Na hapo mnaishtaki wizara ya Afya,maana ilitoa matangazo hadi kwenye TV kwa umuhim wa maduka hayo.
Ili kujua sheria ipi inahusiana na kuhamisha maduka wakati yanavibali.

Hawa matajiri sijui wanatupeleka wapi.Na mkikaa kimya atatokea tajiri mwingine ataanzisha jingine kwa kujua watu wa mwanza sio wazee wa kulianzisha kama Arusha na Dar.
Angalieni mbeya ndio jiji kama Mwanza ila hawapelekeshwi kihivyo,Jiji la Mwanza tu ndio wakimya kila kitu mnaona sawa.
Arusha ndio wamepinda kabisaa,maana matajiri wote wanajua kwamba ukianza vita na raia kwa kuharibu biashara zao basi wanakuhesabia siku
 
Duka la Dawa Muhimu halihitaji kuwa na pharmacist, ndo point nzima ya mradi huu kuleta maduka yanayoweza kuprovide basic medicine kwa wananchi bila complication ya kufungua Pharmacy ya kweli ulikuwa unapitia kozi fupi tu unafungua.

Sasa sielewi imekuwaje TFDA wameamua kuyafunga baadhi ya maeneo nadhani kuna wakubwa wanaona inawapunguzia biashara kwenye pharmacy zao.

Kwa upande wa deni itabidi ulipe kivyovyote, benki inaweza ikaadjust muda wa mailpo labda lakini kwa vile umeweka nyumba deni limekuwa lako pia sio la biashara tu, hii ndo hatari ya ku cosign loans.
Asante mkuu kwa ufafanuzi.
Sasa ndio nasema hapo kuna maduka ya wakubwa ndio yame ESCROW watendaji na kuamua kulianzisha zoezi bubu.
Dawa ni kuita waandishi wa Habari na kuipeleka wizara ya afya mahakamani.Hapo mkuu wa mkoa mwenyewe atawazingua tu.
Chezea pesa wewe
 
Kama mdhamana ilikuwa duka haina tatizo bank watazingatia,but kama ni nyumba duka halihusiki tafuta namna uwalipe pesa zao kwan hapo wanacheza na sheria zaid ya huruma wala ubinadamu.....poleh by the way......

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
This is one of the very useful thread in this forum

TheDealer .... accept my like please
 
Last edited by a moderator:
Nimekumbuka nyingine:

4. Jaribu kwenda kwenye ma benki nyingine uuze huo mkopo wako; then ukope kwao kwa masharti ya kuweka dhamana ya nyumba yako na sio tena biashara ya dawa!

Hope nimekusadia kiasi chake!

Again pole!

Huwezi kukopea nyumba ikiwa huna biashara inayoendelea, pia wale jamaa wa bank wanapenda sana kuuza nyumba za wateja wao
 
Mkopo ni mzuli lakini pia ni mbaya tatizo jingine ni kwamba kwenye biaahara yoyote mkopo ni wa muhimu sana
 
Wakuu mkopo umeisha cha moto nimekiona
Na nimejifunza kitu.
 
Mama yangu! Matatizo ndio yameanzia hapooo! Ndugu, kunusuru nyumba yako tafutaga tu pesa za watu uanze kurudisha taratibu taratibu. La sivyo watauza nyumba wale hawatakagi story... Hakuna kitu kibaya kama kuweka dhamana nyumba bank. Yani watakutesa mpaka upate presha... Mi mwenyewe nilikopa hela nikanunua gari ya biashara na baada ya mda mfupi tu ikapata ajali. Ilibidi nitafute pesa nipunguze deni. Deni ukishalilipa hadi 70% hakuna bank itakuwa na mandate ya kuuza nyumba yako...
 
Kwanza mkopo ulikua bank ya posta.

Kifupi bank hawataki longolongo
Nilikonda kutoka kilo 97 hadi 75 mbaya sana biashara zote zilisimama mpaka kazini sikua na kipato cha maana.

Uzuri wa bank hii ni waungwana kupita bank zote na waelewa sana wanakupa uhuru uwambie mipango yako na unaweka maandishi
Kikubwa hawafuti deni kw
a msamaha labda ufariki.

Ushauri.
Usikope bank bila sababu maalum tena uwe na biashara inarun vizuri bila hivo utapa stroke bure.
 
Ningepedaushauri yafatyo, kwanza huspanik, hayo mambo po, na wewe sio wa kwanza,pili ILIYOfunga ni serikali, napostal bank ni ya rikali, lazi wa na melewano, tau piga picha tukioia, ambatanisha na barua ya kuomba adjustiment yaalipo ya mkop, nakala benk kikuu kito cha malalamiko ya wateja wa mabenk, na wizara ya fedha.

Mwisho kabsa kbra hujfanya haya yoteiulize, duka la limefungwa Kimakosa au la? na je km ni kimakosa ni kosa la nani?? ni lko au la rikali? km ni lako tfta jinsi ya kukaa kitako benki myamalize.
 
Back
Top Bottom