Msaada: Kijana wangu ana changamoto kwenye shingo

Msaada: Kijana wangu ana changamoto kwenye shingo

mkaskaz

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
606
Reaction score
865
Kijana wangu ana changamoto kwenye shingo yake kama inavyoonekana kwenye picha.

Mshipa wa upande mmoja umevimba tofauti na wa upande wa pili. Umri wake ni mid 30s, hanywi pombe wala kuvuta sigara.

Tatizo hapa linaweza kuwa ni nini ndugu zangu? Zingatia kwamba hana maumivu yoyote yanayomsumbua.

Natanguliza shukrani.

IMG-20250106-WA0128.jpg
 
Nimeandika nikafuta pia nikaandika tena Kisha nikafuta Mimi nadhani shingo aina shida Bali ni mwili mzima Mkuu ebu jaribu kuchukua hatua za haraka
 
Mkuu, ungeongeza nyama kidogo ili upate mawazo yenye msaada zaidi.... mf. Umri wa kijana wako, ni aina gani ya kazi anazofanya kila siku, nk. Kwa haraka haraka huo ni mkono wa kulia, mimi naweza "hypothesize" matumizi ya huo mkono zaidi kuliko mwingine wa kushoto mf. Kuutumia zaidi kubeba vitu vizito.
Just loud thinking....
 
Sababu zinaweza kua nyingi aende hospital apimwe magonjwa yotee...

Pia naona jamaa afya yake sio nzurii amekonda SANAA.

Kiasi kwamba kwenye mabega ukiweka maji yanakaa tulikuaga tuna tanianaga zamani..

Ushauri wangu aende hospital apimwe magonjwa yotee
Ok azingatie ushauri.......

Wish him quick recovery Insha'Allah
 
Kijana wangu ana changamoto kwenye shingo yake kama inavyoonekana kwenye picha.

Mshipa wa upande mmoja umevimba tofauti na wa upande wa pili. Umri wake ni mid 30s, hanywi pombe wala kuvuta sigara.

Tatizo hapa linaweza kuwa ni nini ndugu zangu? Zingatia kwamba hana maumivu yoyote yanayomsumbua.

Natanguliza shukrani.

View attachment 3194459

Mpleke hospital ili akafanyiwe uchunguzi wa hapo palipovimba.
Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom