Larusai Mux
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 979
- 277
Wakuu,wataalam,
nisaidieni hapa Nina anko wangu wa kike yuko form 4 na bado mpaka sasa anakojoa sana kitandani! Karibu kila siku tunatoa godoro nje.
Naomba ushauri na tiba,
nisaidieni hapa Nina anko wangu wa kike yuko form 4 na bado mpaka sasa anakojoa sana kitandani! Karibu kila siku tunatoa godoro nje.
Naomba ushauri na tiba,