Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Hamna Bali ndio unakuwa na bahat Sana,pia nikitembea na mwanamke hawez kuniacha tena hate akiwa mke was mtu ila siku izi spend ngono zembe kabisa
 
Mkushi si wanasemaga mkitumia vitu vyenu vya kikush hawasogei? By the way ww ulitii matakwa yao hao viumbe n wajanja Sana na sku ukimwona live utajutia utam uliokua unauskia n viumbe was ajabu sana
Mm napenda Sana vitu vya kutishatisha mkuu Yani hiyo iko ndani ya damu iwe vitabu,hadithi mtandaoni,movies nk yaani siogop kbsa
 
mm sijihusishi na mambo ya dini mkuu wangu
Basi inabidi uanze kujihusisha, inawezekana hata wake zako wa mwanzo umeachana nao chanzo ni huyo jini japo inakua ni indirect wewe unaona mke kafanya makosa unamuacha.

Kuna rafiki yangu iliwah mtokea same situation but yeye hakua anashiriki nae tendo, ila alikua anampigia simu kama hivyo na akimpigia anamtajia mambo ambayo ni kweli kayafanya kwa siku hyo, seems like alikua anajua movement zake zote na alikua anamfatilia hata hyo kuja nyumbani alikua anakuja na siku nyingine anakuja kwa umbo la binadamu.

Yalitokea mambo mengi sana hapo katikati ila badae alikuja kumwambia 'Una bahati unasali' na baada ya hapo yule jini hakumfatilia tena.
Kwa mtu ambaye hajawah experience anaweza hisi hiyo story yako ni ya kutunga but hayo mambo yapo, jitahidi usali tu mkuu.
 
Ukiendelea na ndoto zako za kumridhisha mkeo juu ya kivuli cha jini, watakukimbia wengi tu au walimwengu watakusaidia majukumu ...Ni ushauri tu
 
Halafu mnasema mwanaume akilala na mwanamke anapata mikosi. Imagine mdada umetembea na huyu mtoa mada utaondoka na baraka kweli?
Huwezi toka na baraka, ndo maana mwanamke wa kwanza na wa pili waliondoka.
Yeye anasema walifanya makosa,lakini ukitafakari Ni kwamba walitengenezewa zengwe na huyo jini katika ulimwengu wa Roho. Hi iliambatana na jamaa kufanywa akose hata punje ya msamaha kwao, maana alishakubaliana urafiki na jini.
 
Halafu mnasema mwanaume akilala na mwanamke anapata mikosi. Imagine mdada umetembea na huyu mtoa mada utaondoka na baraka kweli

Sawa mkuu ingawa kusali sitoweza tena,ila ningejua ilikuwaje mpaka rafk yako akawa anamuona ktk umbo la binadam ningejua hiyo fomula iliyotumika ungekuwa umenisaidia moja wapo ktk maswali yangu.
 
Ukiendelea na ndoto zako za kumridhisha mkeo juu ya kivuli cha jini, watakukimbia wengi tu au walimwengu watakusaidia majukumu ...Ni ushauri tu
Hapana mkuu najua kuwa nipo na Nani wakat huo na Niko na afya njema ya kumridhisha mamaake mpaka akakata kiu yake bila Shaka Hilo haliwezekani maana dozi zinagaiwa sawasawa Kila mmoja na njaa yake
 
Sawa mkuu ingawa kusali sitoweza tena,ila ningejua ilikuwaje mpaka rafk yako akawa anamuona ktk umbo la binadam ningejua hiyo fomula iliyotumika ungekuwa umenisaidia moja wapo ktk maswali yangu.
Hiyo siku mtu alikuja akagonga kwao, kumfungulia akaomba maji akampa mgeni akasepa. Then badae jioni akampigia simu akamwambia leo nilikuja kwenu ukanipa maji na akamuelezea mazungumzo yote waliyoongea. Ila sasa akawa hakumbuki tena sura ya yule mtu ilifananaje.

Sometime anaingia ndani anashangaa tu pazia liko wazi na lilikua limefungwa yaan alimfanyia vituko hadi akaja kuzoea akawa hamuogopi tena kama mwanzo au anamwambia nitakuja muda flani leo, na ukifika huo muda kweli kuna kitu tu kitatendeka ambacho sio cha kawaida then badae atamwambia kwa simu nilikuja.

Ilikua kitambo kama 2013/2014 ndio alinisimulia, but kwa navyokumbuka aliniambia alikua anajitahidi kusali kukemea hyo hali hadi akatoweka.
 
Hapo kwenye kusali ndipo ulipo haribu. Hakuna jini anaogopa ibada
 
Imeandikwa wapi
Mpaka uandikiwe ndio unaona ni sahihi? Ndio maana tunapigwa sana. Maana yake ni kuwa unaamini wewe huwezi kugundua kitu ukakiwasilisha kwa watu wengine[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe unampenda huyo jini mkuu mpaka kutaka kuonana nae

Nilijua unataka kusaidiwa kuondokana na tatizo ulilonalo kila la heri mkuu usisahau kutuletea mrejesho mkishaonana
 
Mmh hii ni kesi mpya sana kwangu.. Kwakuwa kwenye scenery ya kwanza jini hawezi kufungwa na mchawi...Jini ni kiumbe kikubwa sana mbele ya mchawi
Lakini pia majini huwa hayapigi simu, yanakuambia live niko mahala fulani HUWA HAYAZUGI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…