Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

Kile kitendo cha kutii kutafuta mishumaa na kumuogesha dawa mke wa kwanza ndio kilikufungisha ndoa na huyo jini. Kifupi una ndoa na jini, na haijarishi utaoa nani, huyo jini ataharibu ndoa yako.

Salama yako ni moja tu, nenda kanisani (huko ndio wanaombea na kutoa majini) ukaombewe na ukajifunze maneno ya Mungu na kuyashika, huyo jini atasepa zake milele, baadaye ndio ujipange kuoa kidini.
 
Hii chai kavu,yani wewe nyota yako ni kuoa majini
Siyo kila usichokijua wewe ni uongo. Story ya huyu jamaa iko wazi tu, huyo Jini anaye yeye ila hisia zake zinampeleka kudhani kila mwanamke anayeoa anakuja na jini mpya wakati ni yuleyule.
 
Kmmmmk, yaani akakushika begani ukahisi Mkono Laini Umekugusa 🤣 🤣 🤣
 
Badili dini uanze kufuga majini ndipo utajuwa ukweli wake.
 
Hilo jini liko kichwani mwako.
Na mwisho wako ni mbaya.
Kifo kiko mlaangoni mwako kama hataondolewa huyo jini.
 
Mkushi mbishi Hilo DUDE unalo wewe na usitamani kuliona lipe muda tu .SIKU UKISHINDWA KULIKANDAMIZIA NDO UTALIJUA UHALISIA WAKE
 
Jini mahaba amekushika Kweli Kweli, kwa mujibu wa maelezo yako na wewe umezama mazima kwake, kama hutachukua hatua haraka ya msaada wa maombi tegemea kuharibikiwa mambo yako yotee! Kila la heri na mpz jini.
 
Yani mimi nilijua unataka aondoshwe kumbe wewe unataka umuone ili umkunje vizuri zaidi?
 
Tafuta kanisa la Waadventista wa sabato linaloabudu siku ya jumamosi nenda saa tatu asubuhi halafu muombe mchungaji akuombee akuweke huru zidi ya huyo jini mahaba, kama unataka kuwa huru fanya hivyo kesho asubuhi tafuta kanisa ukaombewe!!!
 
Anza kuuza kiti moto au fuga nguruwe
 
Huwajuwi hao viumbe umeingia kichwa kichwa...


Wewe hutokaa na mke yeyote na mbaya zaidi baadae utaanza kujisikia raha zinahamia upande wa pili...mgongoni.
!

Siongei sana ...ila ushoga wa ukubwani mbaya maana unakuwa na ulimbukeni...


Na hutakuja jivua hilo..labda atokee mtu mwengine akupiganie kitu ambacho si rahisi....wengi watahesabu kuwa
" ndio aina ya maisha uliyoyachagua"
 
Dah hiyo ni shida kubwa sana kama walivyoshauri wengi tatizo liko kwako mpaka ufahamu wako umeondolewa unataka mahusiano zaidi na huyo jini mahaba shetani hana urafiki na binadamu mwisho wake ni mbaya sana kwako ni kusimama ktk imani yako ni Mungu ndio anaeweza kukuepusha na viumbe hao waharibifu wa ulimwengu mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…