Msaada: Kila nikitongoza mwanamke naishiwa kutukanwa

JOEkizyi

New Member
Joined
Sep 11, 2022
Posts
3
Reaction score
33
Hello JF members,

Shida yangu ni kuwa kila nikimtongoza msichana naishia kutukanwa hadi kushushuliwa.

Naomba ushauri wenu ninyi mnafanyaje jamani kunasa viumbe hawa mpaka wanajaa geto hawa viumbe, au kamzizi gani kanafanya kazi wakuu?

Msaada.

Nawasilisha.


 
Una hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?

Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.

Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.

Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatakavyokuwa marahisi.
 
Shida yako ni kwamba unajiweka wazi mapema, kuna baadhi ya fikra zako wanazitambua mapema ndio maana wanakuona wa nini💔
 
Mchawi hela tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeua
 
Kumbe nilishajua nakosea wapi kwa huyu mrembo financial services
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…