Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,971
- 4,085
Tatizo mnakurupuka kutongoza tu
Ww jitahidi upate mawasiliano yake au jitahid uwe na mazoea nae hata kidogo tu ila usioneshe kama unamtaka, ukifanikiwa hapo uwe unamjulia hali usiku au asubui muulize umekula , wanawake wengi wanapenda kusema sijala na huwa wanafanya hivi ili uwape hela sasa ww fanya muamala bila kuombwa.
Ila usimtongoze kwanza endelea hivo hivo hata wiki baadae ataona una mjali sana ataanza na yeye kukutafuta, hapo sasa ndo mtongoze.. ukimtongoza hawezi kataa hata kama ana mtu.
NB, nimefanya utafiti wangu kwa vitendo na hakuna aliyewahi kukataa
Ww jitahidi upate mawasiliano yake au jitahid uwe na mazoea nae hata kidogo tu ila usioneshe kama unamtaka, ukifanikiwa hapo uwe unamjulia hali usiku au asubui muulize umekula , wanawake wengi wanapenda kusema sijala na huwa wanafanya hivi ili uwape hela sasa ww fanya muamala bila kuombwa.
Ila usimtongoze kwanza endelea hivo hivo hata wiki baadae ataona una mjali sana ataanza na yeye kukutafuta, hapo sasa ndo mtongoze.. ukimtongoza hawezi kataa hata kama ana mtu.
NB, nimefanya utafiti wangu kwa vitendo na hakuna aliyewahi kukataa