Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Chagua siku gani twende ๐๐๐Twende coco beach, mihogo tu inatosha na maji๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chagua siku gani twende ๐๐๐Twende coco beach, mihogo tu inatosha na maji๐๐
Unaonesha unapenda vijana wenye hizo advertise kwa sana๐Savannah nne ni 20k.
Kitimoto nusu ni 10k
Usafiri unamfuata mwenyewe na gari ya ofice[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ndio maana wenye pigo za JB wanawatafuna kama hawana akili nzuri.Utakuwa umekaa kichovuchovu hata ukionekana mtu anasema hii ni shida, sisi wanawake tukiona hueleweki hatukuangalii mara mbili na ukizidi kuongea ndo utatutoa kwenye reli kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]Utakuwa umekaa kichovuchovu hata ukionekana mtu anasema hii ni shida, sisi wanawake tukiona hueleweki hatukuangalii mara mbili na ukizidi kuongea ndo utatutoa kwenye reli kabisa
Mzeya nawe unawinda huyu manzi๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃChagua siku gani twende ๐๐๐
PeriodSavannah nne jamani hiyo sii tayari 15k kitimoto hapo tuweke kilo, haya bad sijui hela ya usafiri. Aisee kazi ipo.
Wacha niendelee kuwa mwanachama wa chaputa tuu
Kijana anitafute kama anahitaji nimpe pdf ya kitabu cha Pandora's box bureConfidence ndiyo kila kitu kwa sisi wanaume, nakupa scenario kama mfano tu; chukua namba ya mwanamke, wasiliana naye bila kuonyesha ishara ya kumtaka (na siyo muda wote unamtafuta, msalimie mjulie hali, mtakie wakati mwema), usiwe na haraka, baada ya siku chache, muambie muende sehemu una surprise yake, mpeleke shopping, mnunulie lingerie nzuri, bra or undergarment of some sort, kisha mwambie "naamini utapendeza sana". Mpeleke mkanywe juisi ama kwenye cinema, badilishana naye mawazo, mpe muda wa kujielezea usiwe mzungumzaji sana na usitawale mazungumzo, na siyo uanze kujisifia gari lako ama mshahara wako ama chochote cha thamani ulichonacho (hii ni ishara ya kutokujiamini na kutegemea vitu unavyomiliki vikuongezee thamani). Mrudishe nyumbani. Baada ya hapo mpe muda wa kukufikiria. Naamini mpaka hapa ukiwasiliana naye next time ata open up vema zaidi na hata kuacha clues chache kwamba u-make a move. Na usimwombe penzi directly (wanawake hawapendi uwachukulie kama malaya) tengeneza appointment, mwalike kwako kuangalia movie, au pika chakula kizuri, au msindikize kwake. Ukifika huko jiongeze kama mwanaume.
Kumbuka "Wanawake wengi hawapendi mtu predictable (anayetabirika) king'ang'anizi (needy) na mtu anayeboa (boring guys)" na haihitaji gharama ama uchawi kumpeleka mwanamke kitandani kwako, kikubwa usitumie nguvu kubwa, usiwekeze muda mwingi na gharama kubwa, hivi ndiyo tiketi ya kuja kulialia mkiachana, au akibadilika.
Naamini point hizi zitakupa mwanga kwa kiasi fulani ndugu Sungura mwizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah na mie nigonge monde zangu sii ndio nakwambia yaani uwe na laki mfukoni...chini ya hapo utapata tabu.
Mwengine anakwambia mie napiga wine sijui four cousins loh alafu anpiga chupa mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niacheee[emoji1]Unaonesha unapenda vijana wenye hizo advertise kwa sana[emoji23]
Kwa ku-summarize tu hapo awe na hela, manake out ni hela labda kama unamaanisha ile out kumtoa ndani na kuongea nae kibarazani.Una hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Akili ya kijana wa Tanzania, tena ahsubuhiHello JF members,
Shida yangu ni kuwa kila nikimtongoza msichana naishia kutukanwa hadi kushushuliwa.
Naomba ushauri wenu ninyi mnafanyaje jamani kunasa viumbe hawa mpaka wanajaa geto hawa viumbe, au kamzizi gani kanafanya kazi wakuu?
Msaada.
Nawasilisha.
Utakuwa unaenda na sound za kwetu tuna tv, baba yangu anamashamba namtumbo lazima upigwe chini tu hakuna namnaHello JF members,
Shida yangu ni kuwa kila nikimtongoza msichana naishia kutukanwa hadi kushushuliwa.
Naomba ushauri wenu ninyi mnafanyaje jamani kunasa viumbe hawa mpaka wanajaa geto hawa viumbe, au kamzizi gani kanafanya kazi wakuu?
Msaada.
Nawasilisha.
Hii muvi gani dadaUna hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Una hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatakavyokuwa marahisi.
Hii muvi gani dada
Upo sahihi mkuu, mwanaume anaejiamini haitaji mbwembwe zote hizo kufkisha hisia zake kwa mwanamke.Hivyo wanafanya waliojifunza mapenzi ukubwani [emoji3][emoji3]
Mapenzi ni Sanaa
Mapenzi ni kipaji.
Mapenzi ni Sayansi.
Huo muda wa kutoana dinner sijui story huitumia watoto wa getikali. Madomo zege
Ila wapumbavu kama hao wapo wengi tu na wanawapata, ndo maana kaandika kwa kujiaminiNdio nilikuwa namuelekeza hapo.
Yaani utumie pesa wakati kuna wajanja wanapata bila pesa๐๐
Dunia haiko Fair kweli