Msaada: Kila nikitongoza mwanamke naishiwa kutukanwa

Msaada: Kila nikitongoza mwanamke naishiwa kutukanwa

Una hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?

Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.

Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.

Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Unamdanganya mtoa mada, mademu niliowapataga sikuwapa hata tsh 100 yangu, unaweza ukampeleka mdada dinner Hyatt regency au serena, halafu mwanaume Ukiomba busu, usiambulie hata busu, mie nliemwalika tu ghetto, napewa yote Na akiondoka hapewi hata nauli zaidi ya kusindikizwa, ewe mtoa mada huwezi nunua hisia za mwanamke kwa kumpa vijisenti vyako, kama hakupendi hakupendi tu, sanasana atakuigizia anakupenda, ili aendelee kukuvuna hela Hannah
 
Ukikutana na demu muombe namba ya simu ukishapata wewe kazi yako ni kutuma muamala mfululizo,baada ya wiki yeye ndio ataanza kukupigia simu na text.
Kifuatacho ni wewe kuchagua wapi kwa kunyandulia.
Jombaa mleta mada umetoka Koromije juzi kati au?
 
Hello JF members,

Shida yangu ni kuwa kila nikimtongoza msichana naishia kutukanwa hadi kushushuliwa.

Naomba ushauri wenu ninyi mnafanyaje jamani kunasa viumbe hawa mpaka wanajaa geto hawa viumbe, au kamzizi gani kanafanya kazi wakuu?

Msaada.

Nawasilisha.

Review kamusi yako na ikibidi update vitamkwa pamoja na tafsida
 
Una hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?

Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.

Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.

Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Mtu akiwa hana hela hali mzigo?
 
Unamdanganya mtoa mada, mademu nliowapataga sikuwapa hata tsh 100 yangu, unaweza ukampeleka mdada dinner Hyatt regency au serena, halafu mwanaume Ukiomba busu, usiambulie hata busu, mie nliemwalika tu ghetto, napewa yote Na akiondoka hapewi hata nauli zaidi ya kusindikizwa, ewe mtoa mada huwezi nunua hisia za mwanamke kwa kumpa vijisenti vyako, kama hakupendi hakupendi tu, sanasana atakuigizia anakupenda, ili aendelee kukuvuna hela Hannah
Inategemea na unatongoza mademu gani. Hivyo, upo sahihi.
 
Kumbe yaani wee mtoa outing alafu usiombe mbususu atapagawa mwenye. Ila tatizo ukiwaza date ya maana ni laki, ukienda dates tatu tuu tayari mshahara umeisha.

Aise hizi mbususu tutaviona kupitia vpn
Ha ha ha ndiyo hivyo.
Wengine sisi hatunaga makuu, kitimoto nusu ndizi mbili, na Savannah nne au desperado. Dinner imefaana kabisa.

Kuna sehemu nyingi tu za hadhi na chakula cha 15-20 ni kizuri kabisa.
 
Ha ha ha ndiyo hivyo.
Wengine sisi hatunaga makuu, kitimoto nusu ndizi mbili, na Savannah nne au desperado. Dinner imefaana kabisa.

Kuna sehemu nyingi tu za hadhi na chakula cha 15-20 ni kizuri kabisa.
Savannah nne jamani hiyo sii tayari 15k kitimoto hapo tuweke kilo, haya bad sijui hela ya usafiri. Aisee kazi ipo.
Wacha niendelee kuwa mwanachama wa chaputa tuu
 
Back
Top Bottom