Tule mbususu tuu. Kujenga tuwaachie wengine🤣🤣🤣
Hakuna namna ni mwendo wa kusuuza rungu tu.
Mpaka leo tofali ziko site zinaota ukungu mamæ. Hizi pisi zinafilisi mwanawane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tule mbususu tuu. Kujenga tuwaachie wengine🤣🤣🤣
Hakuna namna ni mwendo wa kusuuza rungu tu.
Mpaka leo tofali ziko site zinaota ukungu mamæ. Hizi pisi zinafilisi mwanawane
Hii kwa wa swahili tayari ashafailUna hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Hii manual sidhani kama ataweza ifuata dadeki 😂Confidence ndiyo kila kitu kwa sisi wanaume, nakupa scenario kama mfano tu; chukua namba ya mwanamke, wasiliana naye bila kuonyesha ishara ya kumtaka (na siyo muda wote unamtafuta, msalimie mjulie hali, mtakie wakati mwema), usiwe na haraka, baada ya siku chache, muambie muende sehemu una surprise yake, mpeleke shopping, mnunulie lingerie nzuri, bra or undergarment of some sort, kisha mwambie "naamini utapendeza sana". Mpeleke mkanywe juisi ama kwenye cinema, badilishana naye mawazo, mpe muda wa kujielezea usiwe mzungumzaji sana na usitawale mazungumzo, na siyo uanze kujisifia gari lako ama mshahara wako ama chochote cha thamani ulichonacho (hii ni ishara ya kutokujiamini na kutegemea vitu unavyomiliki vikuongezee thamani). Mrudishe nyumbani. Baada ya hapo mpe muda wa kukufikiria. Naamini mpaka hapa ukiwasiliana naye next time ata open up vema zaidi na hata kuacha clues chache kwamba u-make a move. Na usimwombe penzi directly (wanawake hawapendi uwachukulie kama malaya) tengeneza appointment, mwalike kwako kuangalia movie, au pika chakula kizuri, au msindikize kwake. Ukifika huko jiongeze kama mwanaume.
Kumbuka "Wanawake wengi hawapendi mtu predictable (anayetabirika) king'ang'anizi (needy) na mtu anayeboa (boring guys)" na haihitaji gharama ama uchawi kumpeleka mwanamke kitandani kwako, kikubwa usitumie nguvu kubwa, usiwekeze muda mwingi na gharama kubwa, hivi ndiyo tiketi ya kuja kulialia mkiachana, au akibadilika.
Naamini point hizi zitakupa mwanga kwa kiasi fulani ndugu Sungura mwizi
Hahaha!! Bro, This is a first class ticket to bag a baddie.Hii manual sidhani kama ataweza ifuata dadeki 😂
Well saidConfidence ndiyo kila kitu kwa sisi wanaume, nakupa scenario kama mfano tu; chukua namba ya mwanamke, wasiliana naye bila kuonyesha ishara ya kumtaka (na siyo muda wote unamtafuta, msalimie mjulie hali, mtakie wakati mwema), usiwe na haraka, baada ya siku chache, muambie muende sehemu una surprise yake, mpeleke shopping, mnunulie lingerie nzuri, bra or undergarment of some sort, kisha mwambie "naamini utapendeza sana". Mpeleke mkanywe juisi ama kwenye cinema, badilishana naye mawazo, mpe muda wa kujielezea usiwe mzungumzaji sana na usitawale mazungumzo, na siyo uanze kujisifia gari lako ama mshahara wako ama chochote cha thamani ulichonacho (hii ni ishara ya kutokujiamini na kutegemea vitu unavyomiliki vikuongezee thamani). Mrudishe nyumbani. Baada ya hapo mpe muda wa kukufikiria. Naamini mpaka hapa ukiwasiliana naye next time ata open up vema zaidi na hata kuacha clues chache kwamba u-make a move. Na usimwombe penzi directly (wanawake hawapendi uwachukulie kama malaya) tengeneza appointment, mwalike kwako kuangalia movie, au pika chakula kizuri, au msindikize kwake. Ukifika huko jiongeze kama mwanaume.
Kumbuka "Wanawake wengi hawapendi mtu predictable (anayetabirika) king'ang'anizi (needy) na mtu anayeboa (boring guys)" na haihitaji gharama ama uchawi kumpeleka mwanamke kitandani kwako, kikubwa usitumie nguvu kubwa, usiwekeze muda mwingi na gharama kubwa, hivi ndiyo tiketi ya kuja kulialia mkiachana, au akibadilika.
Naamini point hizi zitakupa mwanga kwa kiasi fulani ndugu Sungura mwizi
Thnanks mkuu.well said
Gaidi ktk ubora wakeUna hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Yote hayo yanahitaji hela.Confidence ndiyo kila kitu kwa sisi wanaume, nakupa scenario kama mfano tu; chukua namba ya mwanamke, wasiliana naye bila kuonyesha ishara ya kumtaka (na siyo muda wote unamtafuta, msalimie mjulie hali, mtakie wakati mwema), usiwe na haraka, baada ya siku chache, muambie muende sehemu una surprise yake, mpeleke shopping, mnunulie lingerie nzuri, bra or undergarment of some sort, kisha mwambie "naamini utapendeza sana". Mpeleke mkanywe juisi ama kwenye cinema, badilishana naye mawazo, mpe muda wa kujielezea usiwe mzungumzaji sana na usitawale mazungumzo, na siyo uanze kujisifia gari lako ama mshahara wako ama chochote cha thamani ulichonacho (hii ni ishara ya kutokujiamini na kutegemea vitu unavyomiliki vikuongezee thamani). Mrudishe nyumbani. Baada ya hapo mpe muda wa kukufikiria. Naamini mpaka hapa ukiwasiliana naye next time ata open up vema zaidi na hata kuacha clues chache kwamba u-make a move. Na usimwombe penzi directly (wanawake hawapendi uwachukulie kama malaya) tengeneza appointment, mwalike kwako kuangalia movie, au pika chakula kizuri, au msindikize kwake. Ukifika huko jiongeze kama mwanaume.
Kumbuka "Wanawake wengi hawapendi mtu predictable (anayetabirika) king'ang'anizi (needy) na mtu anayeboa (boring guys)" na haihitaji gharama ama uchawi kumpeleka mwanamke kitandani kwako, kikubwa usitumie nguvu kubwa, usiwekeze muda mwingi na gharama kubwa, hivi ndiyo tiketi ya kuja kulialia mkiachana, au akibadilika.
Naamini point hizi zitakupa mwanga kwa kiasi fulani ndugu Sungura mwizi
Hahaha!! Kama akiizingatia hii manual, anaweza akampata mwanamke wife material kabisa, lakini kama anataka wale wa "nitumie nauli", haitamfaa.No doubt yeye ataenda economy class 😅...just kidding
Mwandishi tunakuamini, katuwakilishe huko Bankroll kamaliza kila kitu hapo kwahiyo pita humo humo
Hapo siyo hela ya kutisha, roughly 10000 tu inatosha, kwa sababu hata watu wasio na uchumi mkubwa wanaweza kuapply hii, na hapo utapata point kubwa kama ukitumia akili ya kiume, kwa sababu gari, matumizi makubwa ama sehemu ya hadhi siyo guarantee ya kupata penzi la mwanamke.Yote hayo yanahitaji hela.
Wee bwana pisi kali outing yake tuu laki hizo bra na kyupi utashaka 40k imeenda. Mara siju hujapigwa kibomu cha birthday cakeHapo siyo hela ya kutisha, roughly 10000 tu inatosha, kwa sababu hata watu wasio na uchumi mkubwa wanaweza kuapply hii, na hapo utapata point kubwa kama ukitumia akili ya kiume, kwa sababu gari, matumizi makubwa ama sehemu ya hadhi siyo guarantee ya kupata penzi la mwanamke.
Mwanamke yeyote anakupokea jinsi unavyoenda, ukienda kwa staili ya expensive dates na kumtengenezea mentality kuwa yeye ni expensive, atabehave hivyo.Wee bwana pisi kali outing yake tuu laki hizo bra na kyupi utashaka 40k imeenda. Mara siju hujapigwa kibomu cha birthday cake