MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA

tafuta cha kufanya hata kama ni kufundisha na amini kuwa kinaweza kukupa kipato ili ukimbie mawazo ya starehe nenda hata kwa wanaouza chips wasaidie kumenya viazi bure wala usijari watakulipa nini au nenda hata kwa wanaolima bustani wasaidie hata kumwagia.
kwa kufanya hivyo utaulisha ubongo wako akili mpya na utawaza vizuri kuliko kuwaza udhaifu acha kujifungia.
 
Ndio mkuu yako fresh
Hakuna haja ya kuwaza kama uko fresh
Fanya yafuatayo

Mrudie muumba wako kwani yeye ndo mmiliki wa nafsi zetu

Isome Dini yako ya udumishe ibada ya swala (Juu ya hili nipo tayari kukufunza mkuu just njoo inbox)
 
Hahahaha miaka 2 bila ngono wala punyeto inahitaji uvumilivu wa kufa paka
 
Pole sana kwa unayoyapitia na uliyoyapitia naweza kukushauri vitu vichache sana endapo utaviweza basi kuna uwezekano mkubwa sana wa kubadili mtazamo, kwanza acha kabisa kukaa peke yako usijifungie ndani peke yako hii itakusaidia kuacha kuwaza ngono muda wote, unapohisi kujisikia kufanya hivo jitahidi ubadili mazingira au tafuta shughuli ya haraka ya kufanya usiangalie picha zenye ushawishi mkubwa wa kupiga punyeto, unachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kujiweka bize na mambo ya msingi ya maisha only na kuamua sasa punyeto basi hata kama utaenda kwa wanasaikolojia usipoamua sasa basi huwezi kufanikiwa chochote kile, kuhusu maradhi hayo maradhi ni makubwa mno unayo yawaza mfano ugonjwa wa ini HEPATITIS B SURFACE ANTIGEN(HBsAG) ni ugonjwa unaoambukizwa kwa mate ndio na njia zote zinazoambukiza HIV ila HBsAG ina faida moja tuu kama una kinga zake za asili ambazo ni HEPATITIS B SURFACE ANTIBODY(HBsAB) ambazo ni kuanzia optical density 100milU/mL hapa sio rahisi kupata ugonjwa huo wa ini kumbuka kupima pia antibody ujue sababu za kutopata ugonjwa wa ini,
Madhara ya punyeto, haya yanafahamika ikiwemo kutopata hamu ya kusex na mwanamke, uume kusinyaa, kukosa nguvu za kufanya tendo, kuua cells za ku stimulate uzalishaji wa nguvu, kuvuruga saikolojia yako kila muda inawaza punyeto, kuhatarisha afya yako kwa ujumla na kuja kujutia maisha yako yote hata hupelekea mtu kujiua sababu ya kukwepa aibu utakapogundulika na matatizo ya uzazi nakushauri kwa sasa anza na kuamua SEMA NO KWA PUNYETO halafu lazimisha mawazo yako yasifikirie punyeto muda mwingi kwa sasa anza kufanya mazoezi muda mrefu na kula matunda na chakula ili kurudisha afya yako ikae sawa acha kuangalia picha za ngono ushauri wangu mdogo ni huo tuu kwa issue za vipimo niulize chochote kuhusu hepatits hiv n.k nitakufafanulia napokua na muda mzuri wa kutosha pia hata kupima kabisa
 
tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wa kulia karibu na mbavu, choo cheusi, tumbo kuunguruma..

hizi ni dalili mojawapo za ulcers, nenda kafanye vipimo vya vidonda vya tumbo kisha ulete mrejesho hapa
 
Ni moja ya comments nzuri sana kwa wenye kuelewa
 
Assante mkuu kwa ushauri wako ubarikiwe sana. Je uchukua muda gani kugundua virus vya hepatitis B? Kuna pia hepatitis A na C je hizi haziambukizwi kwa njia ya mate?
 
Hakuna haja ya kuwaza kama uko fresh
Fanya yafuatayo

Mrudie muumba wako kwani yeye ndo mmiliki wa nafsi zetu

Isome Dini yako ya udumishe ibada ya swala (Juu ya hili nipo tayari kukufunza mkuu just njoo inbox)
Sawa mkuu ntafanya hivyo
 
Assante sana kwa ushauri wako ubarikiwe
 
Assante sana Mungu akubariki
 
Bilionea Asigwa kuna uzi wako flani jinsi ya kuacha punyeto. Tunauomba hapa

Ila mm kama msemaji wa Chaputa ngaz ya JF uongoz umemruhusu member huyu ajitoe chamani kwani Ashakua teja wa chama chetu.
[emoji50][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Assante mkuu kwa ushauri wako ubarikiwe sana. Je uchukua muda gani kugundua virus vya hepatitis B? Kuna pia hepatitis A na C je hizi haziambukizwi kwa njia ya mate?
Hepatitis A (HAVAbIgM) hii huambukizwa kwa kula chakula chenye kinyesi toka kwa mtu mwenye maradhi hayo hii haiambukizwi kwa njia nyingine zaidi ya hiyo fecal oral route kwa kiswahili ni kula mavi kama ilivyo kipindupindu au amoeba na huu ni ugonjwa wa ini pia ila njia ya uambukizo ndio huo niliousema tuu.
Hepatitis C (HCV) huu ni ugonjwa wa zinaa unaambukizwa kwa njia zote zinazoambukiza ukimwi huu kwa kweli hauna tiba wala chanjo japo ni ugonjwa ambao upo kwa kiasi kidogo sana.
Hepatitis B (HBsAG) dalili zake huanza kuonekana kati ya siku 60 mpk 150 kwa average ya siku 90 tuu tangu uupate lakini ni vema ukaenda kupimwa ugonjwa hu una kinga ambayo ukichomwa unaweza usipatwe na ugonjwa huu kwa hiyo kwa muda ulioeleza ni sahihi hauna ugonjwa huu ila ulikua kwenye risk ya kuweza kuupata
 
Assante sana mkuu ubarikiwe zaidi Mungu akusimamie kazi zako
 
Mkuu kwani wewe ni mkaazi wa mikoa ya shinyanga, mwanza, geita n.k? Samahani lakini
 
Assante sana mkuu ubarikiwe zaidi Mungu akusimamie kazi zako
Kuhusu choo, kuumwa tumbo, kujaa gesi na kuunguruma wewe una mawazo mengi inaonekana yanakusumbua kama unawaza mpk ukahisi maumivu ya tumbo na hupati chakula vizuri kwa muda na hauli kabisa unaweza kupata vidonda vya tumbo nakushauri nenda hospital omba upimwe vidonda vya tumbo(h.pylor) waambie wakupime H.PYLOR STOOL ANTIGEN hapa watatumia choo kupima usitumie damu(H.PYLOR SERUM ANTIBODY) tumia ya choo ndio utapata majibu ya uhakika kwamba una ulcers au hauna ya damu huweza kuonesha hata kama ulishawahi kuumwa zaman inaweza sema unae bado ok do it change now
 
Sawa mkuu nashukuru sana
 
Mkuu kweli unamoyo wa ukweli sana,ulijua kabisa girl wako anaukimwi still ulikuwepo,dah
 
Mkuu kweli unamoyo wa ukweli sana,ulijua kabisa girl wako anaukimwi still ulikuwepo,dah
That was a big mistake I made, that is why najutuia kila wakati but kumbuka pia no one knows tomorrow so tusiwatenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…