Mtu wangu i want you to know that " YOU HAVE A REASON TO LIVE" ..ndio Just believe me!! Unasababu ya kuishi nalazima uishi.
Kwann unajaribu kujipa nyakati ngumu za kudhuru pumzi zako ilihali hukuwah kuchangia kuitengeneza hiyo Pumzi ???
SASA mie bana, huwa napenda kutoa maelekezo ....
Umewahi kaa na kuzungumza na Subconscious mind Yako??? Unailisha nini?? Umewah kaa na kufikiria juu ya fikira unazoilisha hii chemba??? ...
Sasa kuna kitu tunakiita " Power of Affirmation " , hii ninguvu yakuuambia Subconscious mind yako, kua unataka uweje na iweje ,chochote kile na kikawa vile unavyotaka.
Watu wanaofanikiwa kutumia hii nguvu, Huwa wanamaisha ya Furaha sana , kama mimi nilivyo , Ninafuraha mnoo kwakua mambo yangu yanaenda vile ambavyo nimeiambia chemba yangu yawe.
Sasa ufanye nin? .. Ongea na ubongo wako.
Kaaa chumban pakiwa kimya , fumba macho, kusanya hisia zako zaidi kisha sema maneno chanya tuuu unayotaka, sema " mimi ni mwenye afyaaaaa tele,, mimi nitaishi maisha marefuuu, mimi sitakua na matatizooo , mimi ni boraaa sanaaaa n.k n.k n.k , sasa nn faida yake??? Kufanya ivo mara kwa mara kuna uzoesha ubongo wako nahatimaye mawazo mbalimbali huja kukuonyesha nin , ufanye ili uwe unavyotaka.
, Ni usiku sana, Nachohimiza , kuhusiana nahizi dalili unazopata, Rudi hospital ,Nenda Hospital ya kueleweka kabisa , Haya mengine yote yalobaki nimepesi sanaa wala hayatokusumbua tena sio punyeto sio nn ...
NitakuPM